Kindeena
JF-Expert Member
- Sep 27, 2017
- 11,462
- 21,124
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Usiniulize maswali hayo ya kitotoKazi maana yake nini dogo? Au mpaka uvae tai ukae nyuma ya pc?
Hiyo sio kazi weweKAZI yoyote unayoifanya ikiwemo ya Bodaboda kama huna nidhamu hutoboi.Wapo Bodaboda Wana maendeleo na wanamiliki Bodaboda zao na wanazidi kununua zingine kwasababu ya nidhamu ya fedha waliyonayo.Ila wengi ambao hawana maendeleo mara nyingi huwa ni walevi na malaya.
Vivyo hivyo kwa sisi wengine ambao tumeajiriwa na kujiajiri bado wapo wengine ni masikini wa kutupwa kwasababu ya kukosa nidhamu.
"Tuheshimu hustle za watu"
Huwa nashangaa sana unakuta mtu anakuambia. Nalisha familia kupitia hii bodaboda aisee ukicheki yeye mwenyewe alivyojichokea sijui hiyo familia yake itakua katika Hali Gani mpaka kumruhusu ndugu Yao kuingia barabarani kucheza na moto ambao hautozimika ukimkumba maana bodaboda ni kitendo Cha dakika 1 unaitwa kilema au maiti, hii kazi siwezi kuifanya
Bora. Uishi Kwa baba na mama utapata urithi wakifa kuliko kugombania buku akili Gani hii yaani na wewe hapo unaona huyo mtu anatafuta maisha au anacheza na maishaUnaonekana bado unaishi kwa baba na mama bwana mdogo
Kila sehemu mkuu kuna risk ya kupoteza maisha kwahiyo wote tupike chips.Vijana wapumbavu hawatakuelewa.
Nilitaka kuleta Uzi leo kuhusu jambo hili , thanks umeniwahi.
Bodaboda leo asubuhi kaburuzwa na daladala mataa ya Vingunguti.
Niliidharau sana kazi ya bodaboda. Ni heri mtu auze mishikaki ya mia mia
Nakazia“Tujifunze kuwa na akiba ya maneno”
Ukishiba usimuone mwenye njaa mzembe ni aina ya ngazi tu zimewekwa ili dunia iwe balanced.
Risk ipo kila sehemu hata hapo kwenu unaweza kupata majanga hata ukiwa chumbani kwako umelala.Bora. Uishi Kwa baba na mama utapata urithi wakifa kuliko kugombania buku akili Gani hii yaani na wewe hapo unaona huyo mtu anatafuta maisha au anacheza na maisha
Bora upate majanga chumbani yatakua yamekufuata sio kuyafuata mwenyewe rodi ukiwa unajua kabisa inacheza na motoRisk ipo kila sehemu hata hapo kwenu unaweza kupata majanga hata ukiwa chumbani kwako umelala.
Kwasababu nimekuona mtoto ndio maana nimekuuliza. Ukiwa mjinga utapelekwa kama mjinga.Usiniulize maswali hayo ya kitoto
SawaBora upate majanga chumbani yatakua yamekufuata sio kuyafuata mwenyewe rodi ukiwa unajua kabisa inacheza na moto
Kama wewe ni mkazi wa Dar es salaam na unazunguka Dar es salaam unajua athari za kazi ya bodaboda.Huko kwingine huwa hakuna ajali?
Ukimuuliza maswali mtoto maana yake wewe ni kubwa jinga sio?Kwasababu nimekuona mtoto ndio maana nimekuuliza. Ukiwa mjinga utapelekwa kama mjinga.
Wenye akili kubwa tu na wanaozitumia VIZURI AKILI ZAO ndio wanaweza kuishi kwa kutegemea kazi hiyo.Huwa nashangaa sana unakuta mtu anakuambia. Nalisha familia kupitia hii bodaboda aisee ukicheki yeye mwenyewe alivyojichokea sijui hiyo familia yake itakua katika Hali Gani mpaka kumruhusu ndugu Yao kuingia barabarani kucheza na moto ambao hautozimika ukimkumba maana bodaboda ni kitendo Cha dakika 1 unaitwa kilema au maiti, hii kazi siwezi kuifanya
Huna akili yaani bodaboda ndio vibaka namba 1 unasema imepunguza weziBodaboda imepunguza Wezi vichochoroni.
Alafu anayeisema Kazi halali kwa kashfa huwa hajiheshimu
Ni heri mtu akalime kijijini kuliko kuwa bodaboda Dar es salaam.Bodaboda imepunguza Wezi vichochoroni.
Alafu anayeisema Kazi halali kwa kashfa huwa hajiheshimu