Unawezaje kuishi Kwa kutegemea kuendesha bodaboda

Unawezaje kuishi Kwa kutegemea kuendesha bodaboda

Hivi wale walioporomokewa na jengo pale kariakoo walikuwa ni bodaboda?

Unaweza usiwe bodaboda ila ipo siku utakatwa miguu na utarudi mavumbini.

Acha kubeza kazi za wengine.
Wale hawakujua kama watapolomokewa na majengo hayo ila bodaboda unajua kabisa pikipiki ikianguka body mwili wangu halafu unaendelea kukomaa kisa uvivu wa kulima
 
Ukishabikia mpira tu, tayari unakua na uelewa mdogo.

Mpira ni emotional game, imagine watu 22 wanafukuza mpira, ule mpira ukiingia kwenye nyavu wewe unaeangalia roho inakuuma, (are you stupid).

Mimi nikikuona mwanaume mtu mzima unashabikia mpira naona ni kama utosi wako bado unadunda.
Samahani mkuu wewe ni she au He? Ila huyu anaetukana bado boda kwamba sio kazi ni mjinga labda kushabikia Timu ya Arsanal pia kumechangia ujinga wake.
 
Huwa nashangaa sana unakuta mtu anakuambia. Nalisha familia kupitia hii bodaboda aisee ukicheki yeye mwenyewe alivyojichokea sijui hiyo familia yake itakua katika Hali Gani mpaka kumruhusu ndugu Yao kuingia barabarani kucheza na moto ambao hautozimika ukimkumba maana bodaboda ni kitendo Cha dakika 1 unaitwa kilema au maiti, hii kazi siwezi kuifanya
Siku zote mwenye shibe humdharau mwenye njaa

Kikubwa haibi
 
Back
Top Bottom