Shooter Again
JF-Expert Member
- Sep 6, 2022
- 5,603
- 9,263
- Thread starter
- #121
Wewe unazo ngapi hizo akiliWe jamaa Huna akili na ni Mjinga sana.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Wewe unazo ngapi hizo akiliWe jamaa Huna akili na ni Mjinga sana.
Kaka mkubwa!Braza
Mungu we unamjuaMUNGU ANAPENDA SANA WATU WENYE DHARAU/DHIHAKA KAMA NYINYI.
Majibu huwa ni hapahapa duniani., kama sio kwa mtu wako wa karibu basi ww mwenyewe.
Sawa,naona wazazi wako walikuwa werevu na wakakufundisha kuishi kwa shemeji yako.Kweli sababu wazazi wako walikua wajinga kwahiyo endelea kucheza na maisha barabarani
Mwanaume hawezi kuwa bodaboda hiyo kazi ni ya kimama tuHeshimu kazi za wanaume we zako Hata kama huzipendi wewe Dada.
Wazazi wako walikua ni wajinga ndio maana unanesa barabaraniSawa,naona wazazi wako walikuwa werevu na wakakufundisha kuishi kwa shemeji yako.
Ndio maana kuna kitu kinaitwa specialization, Wewe hiki hukiwezi na hukitaki,mwenzio na anaota na kuota kuche apige kazi.Kweli wanalisha familia na kusomesha.Wengine wako mbali wamejenga mijengo ya maana.Huwa nashangaa sana unakuta mtu anakuambia. Nalisha familia kupitia hii bodaboda aisee ukicheki yeye mwenyewe alivyojichokea sijui hiyo familia yake itakua katika Hali Gani mpaka kumruhusu ndugu Yao kuingia barabarani kucheza na moto ambao hautozimika ukimkumba maana bodaboda ni kitendo Cha dakika 1 unaitwa kilema au maiti, hii kazi siwezi kuifanya
We kama huwezi kuifanya waache wanaoweza wafanye mkuu.Huwa nashangaa sana unakuta mtu anakuambia. Nalisha familia kupitia hii bodaboda aisee ukicheki yeye mwenyewe alivyojichokea sijui hiyo familia yake itakua katika Hali Gani mpaka kumruhusu ndugu Yao kuingia barabarani kucheza na moto ambao hautozimika ukimkumba maana bodaboda ni kitendo Cha dakika 1 unaitwa kilema au maiti, hii kazi siwezi kuifanya
Naam adjee broh..... Naona unasema chochote kitu juu ya vijana wetu wa bodaboda....,Kaka mkubwa!
Huo ni mtazamo wako mkuu,kama kuna tatizo lilikutokea kwa kuendesha bodaboda ni wewe lilikutokea,au uliona kwa mtu fulani,hayo ni juu yako,nilishaa shuhudia bodaboda mmoja kuendesha bodaboda, baada ya miaka miwili kanunua ya kwake,na kijana alijiwekea malengo na sasa kaajili watu wengine wawili kwa kuendesha bodaboda alizoongeza baada ya miaka mitano mingine,usidharau kazi ya mtu aseh!!, tatizo wengine ufanya kazi hizi bila kuwa na malengo,na hili ni tatizo katika sekta zote unazozijua.Huwa nashangaa sana unakuta mtu anakuambia. Nalisha familia kupitia hii bodaboda aisee ukicheki yeye mwenyewe alivyojichokea sijui hiyo familia yake itakua katika Hali Gani mpaka kumruhusu ndugu Yao kuingia barabarani kucheza na moto ambao hautozimika ukimkumba maana bodaboda ni kitendo Cha dakika 1 unaitwa kilema au maiti, hii kazi siwezi kuifanya
Chagua waendeshe bodaboda au wampakie mkongo mkeo ugawane nao kipato chako au wakupige ngeta chagua moja babuHiyo sio kazi
Nishagonga wake wa bodaboda 4 sababu ya umasikini waoChagua waendeshe bodaboda au wampakie mkongo mkeo ugawane nao kipato chako au wakupige ngeta chagua moja babu
Hiyo sio kaziHuo ni mtazamo wako mkuu,kama kuna tatizo lilikutokea kwa kuendesha bodaboda ni wewe lilikutokea,au uliona kwa mtu fulani,hayo ni juu yako,nilishaa shuhudia bodaboda mmoja kuendesha bodaboda, baada ya miaka miwili kanunua ya kwake,na kijana alijiwekea malengo na sasa kaajili watu wengine wawili kwa kuendesha bodaboda alizoongeza baada ya miaka mitano mingine,usidharau kazi ya mtu aseh!!, tatizo wengine ufanya kazi hizi bila kuwa na malengo,na hili ni tatizo katika sekta zote unazozijua.