Unawezaje kuishi Kwa kutegemea kuendesha bodaboda

Unawezaje kuishi Kwa kutegemea kuendesha bodaboda

unashindwa wewe kuelewa lakin sio kwamba wengine hawawez.sasa mfano hesab unalaza elfu 10 kwa siku. kama yako mwenyewe una maaana unaweza kuingiza mpaka 25 per day. toa10k weka 10k la kuhemea chakula je hawajala. mbona kuna wat wanalipwa casual labour wanaish ila wewe unachkua mpka mil 1 na mwez haukutan
 
unashindwa wewe kuelewa lakin sio kwamba wengine hawawez.sasa mfano hesab unalaza elfu 10 kwa siku. kama yako mwenyewe una maaana unaweza kuingiza mpaka 25 per day. toa10k weka 10k la kuhemea chakula je hawajala. mbona kuna wat wanalipwa casual labour wanaish ila wewe unachkua mpka mil 1 na mwez haukutan
Hamna kitu hapo
 
Huwa nashangaa sana unakuta mtu anakuambia. Nalisha familia kupitia hii bodaboda aisee ukicheki yeye mwenyewe alivyojichokea sijui hiyo familia yake itakua katika Hali Gani mpaka kumruhusu ndugu Yao kuingia barabarani kucheza na moto ambao hautozimika ukimkumba maana bodaboda ni kitendo Cha dakika 1 unaitwa kilema au maiti, hii kazi siwezi kuifanya
Hakuna mtu aliyekuja Dunia kuja kuwa masikini ni mifumo mibovu Afrika tuna mawazo mabovu kuamini aliyepata ela ndio mwenye akili matokeo mwisho wa siku tumezalisha watu wengi wanamafanikio kwa njia za panya
 
Naam adjee broh..... Naona unasema chochote kitu juu ya vijana wetu wa bodaboda....,

Maybe ni kazi kama kazi nyingine,

Kazi yoyote inahitaji maadili na nidhamu,

Hata bodaboda wanahitaji ethics wawapo kazini

kama ilivyo kazi yoyote ina comply na regulations na guidelines husika

Basi boda boda nao wa comply kwa kufuata Sheria za barabarani, kwake mwenyewe na mteja wake itasaidia kupunguza ajali za barabarani!

Mwishoni kazi yoyote inabidi uipende kazi yako, itakupa ujasiri, utayari na kuthubutu
Hakika mkuu!

Siku hizi kuna kazi za kutafutia watu kazi!
 
Huwa nashangaa sana unakuta mtu anakuambia. Nalisha familia kupitia hii bodaboda aisee ukicheki yeye mwenyewe alivyojichokea sijui hiyo familia yake itakua katika Hali Gani mpaka kumruhusu ndugu Yao kuingia barabarani kucheza na moto ambao hautozimika ukimkumba maana bodaboda ni kitendo Cha dakika 1 unaitwa kilema au maiti, hii kazi siwezi kuifanya
Unajua kwanini wanagonga wake zenu sana? Mimi sina Mke.
 
Huwa nashangaa sana unakuta mtu anakuambia. Nalisha familia kupitia hii bodaboda aisee ukicheki yeye mwenyewe alivyojichokea sijui hiyo familia yake itakua katika Hali Gani mpaka kumruhusu ndugu Yao kuingia barabarani kucheza na moto ambao hautozimika ukimkumba maana bodaboda ni kitendo Cha dakika 1 unaitwa kilema au maiti, hii kazi siwezi kuifanya
Huyu anataka vijana wote tuwe tunawatega mashangazi ili na yeye ampate bodaboda wake ambae atamchenyenta.
 
Hata mashabiki wa mpira wanakuona kama ubongo wako umeoza au utakua jinsia Ke
Mie ni mwanaume, na sipo emotional kama mwanamke ndio maana game emotional kama mpira haziwezi kuisumbua akili yangu.

Inawezekanaje roho ikuume kisa ki mpira kimeingia kwenye wavu, tena katika hiyo action hujahusika??? Huoni kama uko emotional?
 
Mie ni mwanaume, na sipo emotional kama mwanamke ndio maana game emotional kama mpira haziwezi kuisumbua akili yangu.

Inawezekanaje roho ikuume kisa ki mpira kimeingia kwenye wavu, tena katika hiyo action hujahusika??? Huoni kama uko emotional?
Wewe ni wa kike bhana acha uongo
 
Huwa nashangaa sana unakuta mtu anakuambia. Nalisha familia kupitia hii bodaboda aisee ukicheki yeye mwenyewe alivyojichokea sijui hiyo familia yake itakua katika Hali Gani mpaka kumruhusu ndugu Yao kuingia barabarani kucheza na moto ambao hautozimika ukimkumba maana bodaboda ni kitendo Cha dakika 1 unaitwa kilema au maiti, hii kazi siwezi kuifanya
Shukuru kwa hicho ulichonacho na uombe kisiondole
.ila usidharau wenzio
 
Ukishabikia mpira tu, tayari unakua na uelewa mdogo.

Mpira ni emotional game, imagine watu 22 wanafukuza mpira, ule mpira ukiingia kwenye nyavu wewe unaeangalia roho inakuuma, (are you stupid).

Mimi nikikuona mwanaume mtu mzima unashabikia mpira naona ni kama utosi wako bado unadunda.
Bora sisi tunaoangalia soccer mkuu, kuliko wewe unayekaa na kuangalia masaptasapta
 
Back
Top Bottom