Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hamna kitu hapounashindwa wewe kuelewa lakin sio kwamba wengine hawawez.sasa mfano hesab unalaza elfu 10 kwa siku. kama yako mwenyewe una maaana unaweza kuingiza mpaka 25 per day. toa10k weka 10k la kuhemea chakula je hawajala. mbona kuna wat wanalipwa casual labour wanaish ila wewe unachkua mpka mil 1 na mwez haukutan
Hakuna mtu aliyekuja Dunia kuja kuwa masikini ni mifumo mibovu Afrika tuna mawazo mabovu kuamini aliyepata ela ndio mwenye akili matokeo mwisho wa siku tumezalisha watu wengi wanamafanikio kwa njia za panyaHuwa nashangaa sana unakuta mtu anakuambia. Nalisha familia kupitia hii bodaboda aisee ukicheki yeye mwenyewe alivyojichokea sijui hiyo familia yake itakua katika Hali Gani mpaka kumruhusu ndugu Yao kuingia barabarani kucheza na moto ambao hautozimika ukimkumba maana bodaboda ni kitendo Cha dakika 1 unaitwa kilema au maiti, hii kazi siwezi kuifanya
Hakika mkuu!Naam adjee broh..... Naona unasema chochote kitu juu ya vijana wetu wa bodaboda....,
Maybe ni kazi kama kazi nyingine,
Kazi yoyote inahitaji maadili na nidhamu,
Hata bodaboda wanahitaji ethics wawapo kazini
kama ilivyo kazi yoyote ina comply na regulations na guidelines husika
Basi boda boda nao wa comply kwa kufuata Sheria za barabarani, kwake mwenyewe na mteja wake itasaidia kupunguza ajali za barabarani!
Mwishoni kazi yoyote inabidi uipende kazi yako, itakupa ujasiri, utayari na kuthubutu
Wanakaza mafuvu Wana jfKama wewe ni mkazi wa Dar es salaam na unazunguka Dar es salaam unajua athari za kazi ya bodaboda.
Ni kazi ambayo imeacha watoto yatima kuliko kazi zingine nyingi.
Ukitoka Airport mpaka Posta lazima ukute mahali boda kaliwa kichwa.
Unajua kwanini wanagonga wake zenu sana? Mimi sina Mke.Huwa nashangaa sana unakuta mtu anakuambia. Nalisha familia kupitia hii bodaboda aisee ukicheki yeye mwenyewe alivyojichokea sijui hiyo familia yake itakua katika Hali Gani mpaka kumruhusu ndugu Yao kuingia barabarani kucheza na moto ambao hautozimika ukimkumba maana bodaboda ni kitendo Cha dakika 1 unaitwa kilema au maiti, hii kazi siwezi kuifanya
Mimi nimegonga sana wake wa bodaboda hapa mtaani na wengine wa 3 wanwatoto wanafanana na Mimi ila wanahudumia nikikaa nawaonea huruma sana sababu wanahudumia damu ambazo sio zaoUnajua kwanini wanagonga wake zenu sana? Mimi sina Mke.
Huyu anataka vijana wote tuwe tunawatega mashangazi ili na yeye ampate bodaboda wake ambae atamchenyenta.Huwa nashangaa sana unakuta mtu anakuambia. Nalisha familia kupitia hii bodaboda aisee ukicheki yeye mwenyewe alivyojichokea sijui hiyo familia yake itakua katika Hali Gani mpaka kumruhusu ndugu Yao kuingia barabarani kucheza na moto ambao hautozimika ukimkumba maana bodaboda ni kitendo Cha dakika 1 unaitwa kilema au maiti, hii kazi siwezi kuifanya
kazi kweli kweli......Hakika mkuu!
Siku hizi kuna kazi za kutafutia watu kazi!
Mie ni mwanaume, na sipo emotional kama mwanamke ndio maana game emotional kama mpira haziwezi kuisumbua akili yangu.Hata mashabiki wa mpira wanakuona kama ubongo wako umeoza au utakua jinsia Ke
Wewe ni wa kike bhana acha uongoMie ni mwanaume, na sipo emotional kama mwanamke ndio maana game emotional kama mpira haziwezi kuisumbua akili yangu.
Inawezekanaje roho ikuume kisa ki mpira kimeingia kwenye wavu, tena katika hiyo action hujahusika??? Huoni kama uko emotional?
Shukuru kwa hicho ulichonacho na uombe kisiondoleHuwa nashangaa sana unakuta mtu anakuambia. Nalisha familia kupitia hii bodaboda aisee ukicheki yeye mwenyewe alivyojichokea sijui hiyo familia yake itakua katika Hali Gani mpaka kumruhusu ndugu Yao kuingia barabarani kucheza na moto ambao hautozimika ukimkumba maana bodaboda ni kitendo Cha dakika 1 unaitwa kilema au maiti, hii kazi siwezi kuifanya
Jaribu kunipa ka business plan kake nione the realistic way yake.SIri ya hiyo biashara huwezi kuijua, kuna hela sana tena zaidi ya 40,000 kwa siku.
Mzee , usirudie Tena kuweka mashabiki wa Arsenal kwenye upuuzi wowote mnaojaribu kujifanya mnajadili...naomba sana tafadhaliSio rahisi kumkuta mshabiki wa arsenal na Simba kua na akili wengi uelewa wao ni mdogo sanaa......
Bora sisi tunaoangalia soccer mkuu, kuliko wewe unayekaa na kuangalia masaptasaptaUkishabikia mpira tu, tayari unakua na uelewa mdogo.
Mpira ni emotional game, imagine watu 22 wanafukuza mpira, ule mpira ukiingia kwenye nyavu wewe unaeangalia roho inakuuma, (are you stupid).
Mimi nikikuona mwanaume mtu mzima unashabikia mpira naona ni kama utosi wako bado unadunda.