mahindi hayaoti mjini
JF-Expert Member
- Nov 29, 2022
- 2,120
- 2,709
Hizi akili au topeBora betting ila sio kuwa bodaboda kuhangaikia buku ambayo itakuletea ukilema dakika 1 yaani ukatwe miguu kisa buku akili Gani hii
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hizi akili au topeBora betting ila sio kuwa bodaboda kuhangaikia buku ambayo itakuletea ukilema dakika 1 yaani ukatwe miguu kisa buku akili Gani hii
Hii kazi ukiwa na akili timamu huwezi kuifanyaLast week tegeta wamepasuliwa vichwa watatu, na roli, Mungu awarehemu
nilijua tu ni wewe uliyemtorosha mke wanguUngejua boda kda tunavyo enjoy warembo na wake za watu hadi raha
Ila hawanywi pombe....Nawafahamu bodaboda wawili , wana wake na watoto tena watoto wengi.
Wamejenga wako kwao, yaani wako vizuri, ila hawanywi pombe
Hakuna mtu anayefahamu kesho yake,unaweza ukawa unaendesha gari na ukagongwa na kuvunjika miguu,huo ulemavu unaweza kupata ukiwa nyumbani kwakoBora betting ila sio kuwa bodaboda kuhangaikia buku ambayo itakuletea ukilema dakika 1 yaani ukatwe miguu kisa buku akili Gani hii
Kwa hiyo mkuu kwamba tusingekua tunapiga bodo tungekuwa wezi?Bodaboda imepunguza Wezi vichochoroni.
Alafu anayeisema Kazi halali kwa kashfa huwa hajiheshimu
Kwa hiyo mkuu kwamba tusingekua tunapiga bodo tungekuwa wezi?
😁😁 mkuu boda mpka wenye masters wapo.Sijamaanisha hivyo.
Ila baadhi ya maeneo hasa mbagala, temeke, tandale, mwananyamala, na the likes Wezi wamekuwa bodaboda na waendesha Bajaji. Panautulivu
😁😁 mkuu boda mpka wenye masters wapo.
Namjua bodaboda mmoja kariakoo, alikuwa jambazi wa kuvunja stoo za watu, ila sasa ni bodaboda na kusali anasali vizuri tu,Sijamaanisha hivyo.
Ila baadhi ya maeneo hasa mbagala, temeke, tandale, mwananyamala, na the likes Wezi wamekuwa bodaboda na waendesha Bajaji. Panautulivu
Tupo mkuu tena wengi tu , ni wewe tu haujui.Sijakataa.
Nenda Vituo vya Polisi kama please Tandale, mabatini, N.k wanajua bodaboda imesaidia Sana.
Hao wenye masters na degree wapo lakini sio kwa kiwango kikubwa
Wengi kwa dar es salaam TZ wanashika pesa za maana Sanaa hukosi 30 tangu asubuh Ila pikipiki iwe yako ndio utafaidi..Huwa nashangaa sana unakuta mtu anakuambia. Nalisha familia kupitia hii bodaboda aisee ukicheki yeye mwenyewe alivyojichokea sijui hiyo familia yake itakua katika Hali Gani mpaka kumruhusu ndugu Yao kuingia barabarani kucheza na moto ambao hautozimika ukimkumba maana bodaboda ni kitendo Cha dakika 1 unaitwa kilema au maiti, hii kazi siwezi kuifanya
Wewe ni wale wanaoua wazazi wao ipi arithi mali... mtoto wa laana wewe..Mimi ni kojo la baba yangu lazima Mali zake nirithi wewe huna Cha kurithi kwahiyo unajifanya kidume eti unajipambania kumbe wazazi wako walikua wajinga na ni makapuku huna ukidume mkuu kama unahangaika kutafuta hela we ni mrembo tu🤣
....Lema alisema, Watu wakadanganywa ili Wasimuelewe...!Huwa nashangaa sana unakuta mtu anakuambia. Nalisha familia kupitia hii bodaboda aisee ukicheki yeye mwenyewe alivyojichokea sijui hiyo familia yake itakua katika Hali Gani mpaka kumruhusu ndugu Yao kuingia barabarani kucheza na moto ambao hautozimika ukimkumba maana bodaboda ni kitendo Cha dakika 1 unaitwa kilema au maiti, hii kazi siwezi kuifanya