Unawezaje kuishi Kwa kutegemea kuendesha bodaboda

Unawezaje kuishi Kwa kutegemea kuendesha bodaboda

Wale hawakujua kama watapolomokewa na majengo hayo ila bodaboda unajua kabisa pikipiki ikianguka body mwili wangu halafu unaendelea kukomaa kisa uvivu wa kulima
Kwani wakulima l wanakuwa shamba muda wote kila siku? Wengine wanalima, mazao yako shambani na wakati uo huo wanakomaa na mishe zingine mjini, na sio kubeti kama wewe. Bodaboda ni kazi halali, jifunze kuheshimu kazi za watu hata kama huwezi kuifanya.
 
Bora. Uishi Kwa baba na mama utapata urithi wakifa kuliko kugombania buku akili Gani hii yaani na wewe hapo unaona huyo mtu anatafuta maisha au anacheza na maisha
We kweli kiaz, mtoto wa kiume unawaza urithi? Kwa haya maneno yako ww ni jobless promax. Nyuzi zako nyingi ni kunanga hustle za watu tu. Fala mmoja ww....🚮🚮🚮🚮
 
We kweli kiaz, mtoto wa kiume unawaza urithi? Kwa haya maneno yako ww ni jobless promax. Nyuzi zako nyingi ni kunanga hustle za watu tu. Fala mmoja ww....🚮🚮🚮🚮
We ndio kiazi ambapo wazazi wako ni wajinga walishindwa kujiwekeza
 
We huna ulijualo. Eti mtoto wa kiume unawaza mali za mwanaume mwenzako. Akili yako hapo inawaza urithi na kubeti tu
Mimi ni kojo la baba yangu lazima Mali zake nirithi wewe huna Cha kurithi kwahiyo unajifanya kidume eti unajipambania kumbe wazazi wako walikua wajinga na ni makapuku huna ukidume mkuu kama unahangaika kutafuta hela we ni mrembo tu🤣
 
Huwa nashangaa sana unakuta mtu anakuambia. Nalisha familia kupitia hii bodaboda aisee ukicheki yeye mwenyewe alivyojichokea sijui hiyo familia yake itakua katika Hali Gani mpaka kumruhusu ndugu Yao kuingia barabarani kucheza na moto ambao hautozimika ukimkumba maana bodaboda ni kitendo Cha dakika 1 unaitwa kilema au maiti, hii kazi siwezi kuifanya
Boda boda umewadharau sana kwa andiko hili. Lkn hebu nenda kwenye uhalisia kwa boda boda ambaye anajijali na kupenda kazi yake. Ambaye ana pikipiki ya mkataba analipa TSH 10,000 kwa siku na hapo anaweka mafuta anakula na anafanya maintenance ya chombo. Je unahisi anaingiza kiasi gani hapo. Usidharau kazi maana unaona kama wameandikiwa kifo lkn ndio hao wenye usafiri wa fasta kuwahi sehemu. Omba toba tu na tuendelee kuwaasa wawe watiifu na wafuate sheria za barabarani.
 
Boda boda umewadharau sana kwa andiko hili. Lkn hebu nenda kwenye uhalisia kwa boda boda ambaye anajijali na kupenda kazi yake. Ambaye ana pikipiki ya mkataba analipa TSH 10,000 kwa siku na hapo anaweka mafuta anakula na anafanya maintenance ya chombo. Je unahisi anaingiza kiasi gani hapo. Usidharau kazi maana unaona kama wameandikiwa kifo lkn ndio hao wenye usafiri wa fasta kuwahi sehemu. Omba toba tu na tuendelee kuwaasa wawe watiifu na wafuate sheria za barabarani.
Hamna kitu hapo
 
Kajipata wap boya uyo. Kuna comment kasema bora ukae kwa baba & mama usuburie urithi. Kwa akili hzo unadhani kajipata uyo boya. Ni kiazi mmoja anakuja kunanga hustle za watu tu kila cku.
I'm sorry to say this, ila kama kasema hivyo basi kuna mahali akili yake haipo sawa.
 
Ukishabikia mpira tu, tayari unakua na uelewa mdogo.
Nadhani asiyeelewa baina ya anayeshiriki jambo fulani na asiyefanya basi yeye ndio haelewi hio specific issue hence yeye ndio mwenye uelewa mdogo (he / she does not get it)
Mpira ni emotional game, imagine watu 22 wanafukuza mpira, ule mpira ukiingia kwenye nyavu wewe unaeangalia roho inakuuma, (are you stupid).
Kwahio any emotional game au anything emotional haipaswi kuwa na washabiki ? (Others might tell you hio ndio inaongeza investment i.e. emotional investment hence making it more than a game...; na ukishangaa hio je wanaopiganisha kuku au hata panzi.., vipi waliokuwa wanaangalia watumwa wakiuwana (enzi za gladiators)?; Au kila siku watu wanavyopigwa blah blah na wanasiasa na kutumika kama ngazi za watu kuwapanda ili wapate kura waende kula (kwa kudanganywa kwamba wao nio wana nguvu i.e. Power to the People )...., To each their Own
Mimi nikikuona mwanaume mtu mzima unashabikia mpira naona ni kama utosi wako bado unadunda.
Think that can be said about you sababu unadhani watu ni kama robots au lego ukishawa program basi they all act the same..... Unashindwa kuelewa its all about chemicals na furaha at molecular level is just stimulating the sensory organs and some chemicals within the body and brain doing their things...,
 
Kuna boda nimemkuta mji flani aisee yuko strategic ye kazi zake nyingi za simu amejikusanya amenunua ka IST kwa mtu. Ukimpigia simu anakuuliza aje na boda au gari. kazi zake nyingi za kwenye simu hakai sana vijiweni na ni mwaminifu kweli hata m10 we mtu mahali anaifikisha.
 
Back
Top Bottom