Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ghorofa kwa bodaboda? Labda la udongo kakaWatu wana migorofa kwa bodaboda bwashee
Inalipa kichizi
Hongera yakoMimi, nina bodaboda 128
Nina wasiwasi na jinsia yako mkuuUkishabikia mpira tu, tayari unakua na uelewa mdogo.
Mpira ni emotional game, imagine watu 22 wanafukuza mpira, ule mpira ukiingia kwenye nyavu wewe unaeangalia roho inakuuma, (are you stupid).
Mimi nikikuona mwanaume mtu mzima unashabikia mpira naona ni kama utosi wako bado unadunda.
sheria kuu ya maisha Hasa kama ni Mwanaume..Huwa nashangaa sana unakuta mtu anakuambia. Nalisha familia kupitia hii bodaboda aisee ukicheki yeye mwenyewe alivyojichokea sijui hiyo familia yake itakua katika Hali Gani mpaka kumruhusu ndugu Yao kuingia barabarani kucheza na moto ambao hautozimika ukimkumba maana bodaboda ni kitendo Cha dakika 1 unaitwa kilema au maiti, hii kazi siwezi kuifanya
Maskini ndo hujieleza sana, kiazi ww(ww ni maskini). Unajikuta mwamba upo nyuma ya keyboard unajipa matumani kuwa we wa kishua. 🚮🚮🚮Mimi ni kojo la baba yangu lazima Mali zake nirithi wewe huna Cha kurithi kwahiyo unajifanya kidume eti unajipambania kumbe wazazi wako walikua wajinga na ni makapuku huna ukidume mkuu kama unahangaika kutafuta hela we ni mrembo tu🤣
Duh umenikumbusha zamani. Kila siku asubahi kabla sijaenda shule nilikuwa lazima niusikilize huo wimbo pamoja na ule wa msondo Ngoma unaoitwa 'kaza moyo'.Jiepushe na uvivu....... Ujenge Taifa
Mwa-naa..ngu amka kumekucha....
Hizi ndizo saa-a za kwenda shule,
Mkulima kumekucha......
Amka uende shamba,
Jiepushe na uvivu Tujenge Taifa,
Jiepushe na uvivu Tujenge Taifa
Mwanangu amka kumekucha
Hii ndizo saa-a za kwenda shule.....
secretarybird
hana umasaki wowote anaishi kwenye nyumba ya Bure, kodi yote anaweka bando kuja kuwaponda wapambanajiKaa kimya wewe mtoto wa Masaki. Hujui shida wewe. Hujui dhiki wakishua wewe..
anaishi nyumba ya bure ndio maana anapata nguvu za kudharau hela za wanaumeMaskini ndo hujieleza sana, kiazi ww(ww ni maskini). Unajikuta mwamba upo nyuma ya keyboard unajipa matumani kuwa we wa kishua. 🚮🚮🚮
Kweli mjomba. Halafu utakuta mtu anayekandya shughuli za mwenzake ; yeye mwenyewe anashindia mihogo na kupiga kelele za simba na yanga.Watu wana dharau sana
Ova
Aseeh maroon commandos walinifanya nikiusikia napatwa na hasira mara furaha Ila childhood yetu ilikuwa unyama...,. sio sasa watangazaji wanaropoka mpaka sijui redio mimiDuh umenikumbusha zamani. Kila siku asubahi kabla sijaenda shule nilikuwa lazima niusikilize huo wimbo pamoja na ule wa msondo Ngoma unaoitwa 'kaza moyo'.
Ni ngori
Kabisa mkuu kizazi hiki cha nyoka kinashabikia amapiano, yaani wanarudia rudia maneno Yale yale kwenye Ngoma nzima.Aseeh maroon commandos walinifanya nikiusikia napatwa na hasira mara furaha Ila childhood yetu ilikuwa unyama...,. sio sasa watangazaji wanaropoka mpaka sijui redio mimi
Aseeh mimi hizi nyimbo nitaziishi mpaka naondoka kwenye uso wa dunia hii,Kabisa mkuu kizazi hiki cha nyoka kinashabikia amapiano, yaani wanarudia rudia maneno Yale yale kwenye Ngoma nzima.
Nina bodaboda 128 * 10000/=Ghorofa kwa bodaboda? Labda la udongo kaka
Nitakuwa nakuwekea Kila sikuAseeh mimi hizi nyimbo nitaziishi mpaka naondoka kwenye uso wa dunia hii,
Ndio hiyo mkuu unadhani bila ngeta kitaa tungefanikiwaje?Kwa hiyo mkuu kwamba tusingekua tunapiga bodo tungekuwa wezi?