Robert Heriel Mtibeli
JF-Expert Member
- Mar 24, 2018
- 28,297
- 68,017
Ni heri mtu akalime kijijini kuliko kuwa bodaboda Dar es salaam.
Wazazi wengi wamejeruhiwa mioyoni baada ya watoto wao ambao ni bodaboda kufa hovyo mijini
Kinachowafanya wage ni Kazi ya bodaboda au kutofuata Sheria za barabarani?