Unawezaje kuishi Kwa kutegemea kuendesha bodaboda

Unawezaje kuishi Kwa kutegemea kuendesha bodaboda

MUNGU ANAPENDA SANA WATU WENYE DHARAU/DHIHAKA KAMA NYINYI.

Majibu huwa ni hapahapa duniani., kama sio kwa mtu wako wa karibu basi ww mwenyewe.
 
Huwa nashangaa sana unakuta mtu anakuambia. Nalisha familia kupitia hii bodaboda aisee ukicheki yeye mwenyewe alivyojichokea sijui hiyo familia yake itakua katika Hali Gani mpaka kumruhusu ndugu Yao kuingia barabarani kucheza na moto ambao hautozimika ukimkumba maana bodaboda ni kitendo Cha dakika 1 unaitwa kilema au maiti, hii kazi siwezi kuifanya
Ndio maana kuna kitu kinaitwa specialization, Wewe hiki hukiwezi na hukitaki,mwenzio na anaota na kuota kuche apige kazi.Kweli wanalisha familia na kusomesha.Wengine wako mbali wamejenga mijengo ya maana.
 
Huwa nashangaa sana unakuta mtu anakuambia. Nalisha familia kupitia hii bodaboda aisee ukicheki yeye mwenyewe alivyojichokea sijui hiyo familia yake itakua katika Hali Gani mpaka kumruhusu ndugu Yao kuingia barabarani kucheza na moto ambao hautozimika ukimkumba maana bodaboda ni kitendo Cha dakika 1 unaitwa kilema au maiti, hii kazi siwezi kuifanya
We kama huwezi kuifanya waache wanaoweza wafanye mkuu.
 
Kaka mkubwa!
Naam adjee broh..... Naona unasema chochote kitu juu ya vijana wetu wa bodaboda....,

Maybe ni kazi kama kazi nyingine,

Kazi yoyote inahitaji maadili na nidhamu,

Hata bodaboda wanahitaji ethics wawapo kazini

kama ilivyo kazi yoyote ina comply na regulations na guidelines husika

Basi boda boda nao wa comply kwa kufuata Sheria za barabarani, kwake mwenyewe na mteja wake itasaidia kupunguza ajali za barabarani!

Mwishoni kazi yoyote inabidi uipende kazi yako, itakupa ujasiri, utayari na kuthubutu
 
Huwa nashangaa sana unakuta mtu anakuambia. Nalisha familia kupitia hii bodaboda aisee ukicheki yeye mwenyewe alivyojichokea sijui hiyo familia yake itakua katika Hali Gani mpaka kumruhusu ndugu Yao kuingia barabarani kucheza na moto ambao hautozimika ukimkumba maana bodaboda ni kitendo Cha dakika 1 unaitwa kilema au maiti, hii kazi siwezi kuifanya
Huo ni mtazamo wako mkuu,kama kuna tatizo lilikutokea kwa kuendesha bodaboda ni wewe lilikutokea,au uliona kwa mtu fulani,hayo ni juu yako,nilishaa shuhudia bodaboda mmoja kuendesha bodaboda, baada ya miaka miwili kanunua ya kwake,na kijana alijiwekea malengo na sasa kaajili watu wengine wawili kwa kuendesha bodaboda alizoongeza baada ya miaka mitano mingine,usidharau kazi ya mtu aseh!!, tatizo wengine ufanya kazi hizi bila kuwa na malengo,na hili ni tatizo katika sekta zote unazozijua.
 
Huo ni mtazamo wako mkuu,kama kuna tatizo lilikutokea kwa kuendesha bodaboda ni wewe lilikutokea,au uliona kwa mtu fulani,hayo ni juu yako,nilishaa shuhudia bodaboda mmoja kuendesha bodaboda, baada ya miaka miwili kanunua ya kwake,na kijana alijiwekea malengo na sasa kaajili watu wengine wawili kwa kuendesha bodaboda alizoongeza baada ya miaka mitano mingine,usidharau kazi ya mtu aseh!!, tatizo wengine ufanya kazi hizi bila kuwa na malengo,na hili ni tatizo katika sekta zote unazozijua.
Hiyo sio kazi
 
Back
Top Bottom