Unawezaje kuishi na mwanamke anayejamba jamba ovyo?

Unawezaje kuishi na mwanamke anayejamba jamba ovyo?

Au mko pamoja hapo nini!, mnafurahia ndoa yenu, maana yake furaha imepitiliza hadi umekuja kuanzisha mada 😁
 
Mshauri awe anaenda haja kubwa kila akijisikia asibane haja.
Mtu aliyebana haja ndio ushuzi wake unanuka.

Kipindi sisi wadogo, ukiachia ushuzi ukinuka mama zetu na bibi zetu wanatuambia nenda chooni hata kama hujisikii jilazimishe na kweli baada ya hapo hali inakuwa shwari.

Tatizo watu wanaona ni sawa kupitiliza siku hajaenda haja kubwa halafu anategemea ushuzi usinuke.
Njoo unijambie 😋 Hannah
 
Wengine tunapenda wanawake wanaojamba jamani. There is nothing sexy kama ushuzi wa mwanamke wako,
 
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] ila watu jamani, Lol
 
chai_chapati_03.jpg
Chapati zimenona balaa,
 
Umetoka kazini umechoka umekaa zako sebuleni anajipitisha na khanga yake inanuka ushuzi unaamua kupiga kimya.

Nipo kitandani naperuzi Jamiiforums yeye amelala amejamba kama mara 4 hivi.

Shida sio kujamba shida anatoa hewa chafu, inakera sana ukiliambia linacheka cheka tu.

Pumbavu, tabia chafu sana hii
Usikute usha mtoa Bikra ya
👌
 
Back
Top Bottom