Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kwahiyo ulivyomuona mwenyewe na ma makeup yake,nywele za bandia, miperfume ya gharama plus mipoz ukajua hajambi,ukiona hivyo kashakuzoea,kaona kisa cha kijifia wacha umjue tu na yeye ni binadamu kama wengine...Umetoka kazini umechoka umekaa zako sebuleni anajipitisha na khanga yake inanuka ushuzi unaamua kupiga kimya.
Nipo kitandani naperuzi Jamiiforums yeye amelala amejamba kama mara 4 hivi.
Shida sio kujamba shida anatoa hewa chafu, inakera sana ukiliambia linacheka cheka tu.
Pumbavu, tabia chafu sana hii
HEhehe Mfungo wa Kitaifa unaanza kesho. Kuwa mpoleJambo nyeti la kubamizwa kinyeo?
Anatumiwa kadi ya mualiko haelewiHa haaaa unataka kusemaje wewe?🤣🤣🤣🤣🤣
Sio kama hivyo lakini😂😂Hiyo ndo raha ya mapenzi, ukiona mpenzi wako hajawahi kujamba mbele yako ujue hakupendi.
Mkague mtaro wake usikute wauni washatoa malinda kwaiyo ndo maana anashindwa kuubana unamtoka2Umetoka kazini umechoka umekaa zako sebuleni anajipitisha na khanga yake inanuka ushuzi unaamua kupiga kimya.
Nipo kitandani naperuzi Jamiiforums yeye amelala amejamba kama mara 4 hivi.
Shida sio kujamba shida anatoa hewa chafu, inakera sana ukiliambia linacheka cheka tu.
Pumbavu, tabia chafu sana hii
Niamini mmUo
Sio kama hivyo lakini😂😂
Kuna kujamba na kuna kufanya maangamizi sasa huyo mwanamke wa jamaa ni anafanya maangamiziNiamini mm
Ndo unyama huo, nngempata huyo mwanamke nngeienjoy sanaKuna kujamba na kuna kufanya maangamizi sasa huyo mwanamke wa jamaa ni anafanya maangamizi
Unanifaa sana wwsijui wengine mnafeli wapi? wenzenu tunapenda wanaojamba kama hivyo.
Dawa yake ni nini.
Namie nasumbuliwa sana na kujamba/gesi.
Nikienda pharmacy niseme nataka dawa gani. Ama home remedies naweza tumia.
Mwache shemeji ajiachie bhana,si unampatia lishe anashiba?Umetoka kazini umechoka umekaa zako sebuleni anajipitisha na khanga yake inanuka ushuzi unaamua kupiga kimya.
Nipo kitandani naperuzi Jamiiforums yeye amelala amejamba kama mara 4 hivi.
Shida sio kujamba shida anatoa hewa chafu, inakera sana ukiliambia linacheka cheka tu.
Pumbavu, tabia chafu sana hii
Mchemshie majani yanaitwa kashwagara anywe kama chai tuu ni tiba nzuri sana kwa hilo tatizo! Muulize muhaya aliye karibu yako atakuelekeza vizuriUmetoka kazini umechoka umekaa zako sebuleni anajipitisha na khanga yake inanuka ushuzi unaamua kupiga kimya.
Nipo kitandani naperuzi Jamiiforums yeye amelala amejamba kama mara 4 hivi.
Shida sio kujamba shida anatoa hewa chafu, inakera sana ukiliambia linacheka cheka tu.
Pumbavu, tabia chafu sana hii