Unawezaje kuishi na mwanamke anayejamba jamba ovyo?

Unawezaje kuishi na mwanamke anayejamba jamba ovyo?

Ndoa za siku, zinachangamoto sana.
Zamani tulikua tunasema, mke haachwi kwakuto jua kupika, kufua au kutofanya usafi, unamfundisha msisha yanaendelea ama anatafutiwa msaidizi.
 
Umetoka kazini umechoka umekaa zako sebuleni anajipitisha na khanga yake inanuka ushuzi unaamua kupiga kimya.

Nipo kitandani naperuzi Jamiiforums yeye amelala amejamba kama mara 4 hivi.

Shida sio kujamba shida anatoa hewa chafu, inakera sana ukiliambia linacheka cheka tu.

Pumbavu, tabia chafu sana hii
😁😁😁😅
 
Msaada noaweza kumpa amlete kwangu kidogo...

Nimuweke chini ya uchunhuzi kidogo..
Ofcoz kwa ruksa Yako sweetheart...

Napenda mwanamke akiwa na ujinga ujinga kama wewe sweetheart siyo serious...
Weeeee staki smart hakunaa! Huo uchunguzi kwioo🙄😊
 

Attachments

  • 37BF00B2-480F-47CF-ADD2-B6ED14E67AFC.jpeg
    37BF00B2-480F-47CF-ADD2-B6ED14E67AFC.jpeg
    1.4 MB · Views: 5
Umetoka kazini umechoka umekaa zako sebuleni anajipitisha na khanga yake inanuka ushuzi unaamua kupiga kimya.

Nipo kitandani naperuzi Jamiiforums yeye amelala amejamba kama mara 4 hivi.

Shida sio kujamba shida anatoa hewa chafu, inakera sana ukiliambia linacheka cheka tu.

Pumbavu, tabia chafu sana hii
Mimi huwapenda sana Wanawake hao Wanaojambajamba hovyo kwani hunirahisishia Kazi kujua kuwa wanatoa 'TOILET' hivyo nami kutoa Ushirikiano kwa 'KUWAZIBUA' na hufurahia mno kama ninavyofurahiaga sana.
 
Back
Top Bottom