Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
😂😂😂😂 Sio kweli mbona kwenu uchagani hawazeeki!!Kunde ndo nzuri, nyama utazeeka mapema mmeo atachepuka
Sawa binti?
Ha haaaa unataka kusemaje wewe?🤣🤣🤣🤣🤣Invitation to treaty
huoni wanavyoteseka na magonjwa ya moyo😂😂😂😂😂 Sio kweli mbona kwenu uchagani hawazeeki!!
😁😁😁😅Umetoka kazini umechoka umekaa zako sebuleni anajipitisha na khanga yake inanuka ushuzi unaamua kupiga kimya.
Nipo kitandani naperuzi Jamiiforums yeye amelala amejamba kama mara 4 hivi.
Shida sio kujamba shida anatoa hewa chafu, inakera sana ukiliambia linacheka cheka tu.
Pumbavu, tabia chafu sana hii
Weeeee staki smart hakunaa! Huo uchunguzi kwioo🙄😊Msaada noaweza kumpa amlete kwangu kidogo...
Nimuweke chini ya uchunhuzi kidogo..
Ofcoz kwa ruksa Yako sweetheart...
Napenda mwanamke akiwa na ujinga ujinga kama wewe sweetheart siyo serious...
Uongo, mbona wamasai hawapati hayo magonjwa?? 😂😂😂huoni wanavyoteseka na magonjwa ya moyo😂
Kwakwel nimeona aibu sanaNa kawavua nguo haswaah!! Siku atakuja kusema lingine zito kuliko hilo. Ujinga mtupu
wewe kula maharage, achana na balimi uje uniambie kama hutokua mrembo😂Uongo, mbona wamasai hawapati hayo magonjwa?? 😂😂😂
Sasa imagine akil hii ya kumfedhehesha mkewe asijue anajivua nguo si yeye tu bali hata sie wengineKabisa asee hawa madogo wa saiv sijui akili zao zimekuwaje
Amezingua kinoma, vipi na mkewe akileta madhaifu yake atajisikiaje??Kwakwel nimeona aibu sana
Niko kula hapa 😜wewe kula maharage, achana na balimi uje uniambie kama hutokua mrembo😂
Hum unaleta hoja zenye mashiko sio hayama ujinga personalAmezingua kinoma, vipi na mkewe akileta madhaifu yake atajisikiaje??
Hiz fujo sasaNiko kula hapa 😜
Nikajua unakulaga chips na pizza tuNiko kula hapa 😜
Mimi huwapenda sana Wanawake hao Wanaojambajamba hovyo kwani hunirahisishia Kazi kujua kuwa wanatoa 'TOILET' hivyo nami kutoa Ushirikiano kwa 'KUWAZIBUA' na hufurahia mno kama ninavyofurahiaga sana.Umetoka kazini umechoka umekaa zako sebuleni anajipitisha na khanga yake inanuka ushuzi unaamua kupiga kimya.
Nipo kitandani naperuzi Jamiiforums yeye amelala amejamba kama mara 4 hivi.
Shida sio kujamba shida anatoa hewa chafu, inakera sana ukiliambia linacheka cheka tu.
Pumbavu, tabia chafu sana hii
Huyo mwanaume mwenzenu inaonyesha ni mtu mwenye gubu na mwenye kujihesabia haki…. Kifupi Mungu mtu anajiona 😏Hum unaleta hoja zenye mashiko sio hayama ujinga personal
Hujakosea. Mbaya sasa awe na vijisent,utaona dunia chunguHuyo mwanaume mwenzenu inaonyesha ni mtu mwenye gubu na mwenye kujihesabia haki…. Kifupi Mungu mtu anajiona 😏
😂😂😂 na chips nakulaga wakinga na ndosa tena unatutoaje hapo??Nikajua unakulaga chips na pizza tu
Kumbe wa kienyeji