Huna akili 😂Umetoka kazini umechoka umekaa zako sebuleni anajipitisha na khanga yake inanuka ushuzi unaamua kupiga kimya.
Nipo kitandani naperuzi Jamiiforums yeye amelala amejamba kama mara 4 hivi.
Shida sio kujamba shida anatoa hewa chafu, inakera sana ukiliambia linacheka cheka tu.
Pumbavu, tabia chafu sana hii
Na wengi ndiyo hao wanakula bila kipimo na hawachagui nini ale na wakati gani, mwisho wa siku wameyumbisha ndoa zao na kuishia kujutaUmetoka kazini umechoka umekaa zako sebuleni anajipitisha na khanga yake inanuka ushuzi unaamua kupiga kimya.
Nipo kitandani naperuzi Jamiiforums yeye amelala amejamba kama mara 4 hivi.
Shida sio kujamba shida anatoa hewa chafu, inakera sana ukiliambia linacheka cheka tu.
Pumbavu, tabia chafu sana hii
Ni malezi mkuu ndio yanasababishaAisee! Kumbe siko peke yangu nnaye wajua. Hawana aibu kabisa. Katikati ya watu utasikia wanasema "ngoja niende kukojoa"badala ya kusema "naenda uwani" au kama kama ni kwenye Bus utasikia wakimwiita konda bila aibu "wee konda, sismamisha gari tukakojoe".Hawana aibu kabisa. Mijitu mzima yanaendaje kukojoa kama watoto wadogo?
Hapana BibiHahaa mwache baby apumue bana, maisha mafupi haya[emoji3][emoji3]
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Mshauri awe anaenda haja kubwa kila akijisikia asibane haja.
Mtu aliyebana haja ndio ushuzi wake unanuka.
Kipindi sisi wadogo, ukiachia ushuzi ukinuka mama zetu na bibi zetu wanatuambia nenda chooni hata kama hujisikii jilazimishe na kweli baada ya hapo hali inakuwa shwari.
Tatizo watu wanaona ni sawa kupitiliza siku hajaenda haja kubwa halafu anategemea ushuzi usinuke.
anajamba sana?Kama yule receptionist wa Kiuruwi Executive hotel[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji6]
Umri wako ni mdogo sana kuyaelewa haya mambo. Ndo maana unajianika hadharani kuwa hujui haya mambo yapoje.Umetoka kazini umechoka umekaa zako sebuleni anajipitisha na khanga yake inanuka ushuzi unaamua kupiga kimya.
Nipo kitandani naperuzi Jamiiforums yeye amelala amejamba kama mara 4 hivi.
Shida sio kujamba shida anatoa hewa chafu, inakera sana ukiliambia linacheka cheka tu.
Pumbavu, tabia chafu sana hii
Akili hiyo hana.Kifinye hiko kijambio🤣
Umetoka kazini umechoka umekaa zako sebuleni anajipitisha na khanga yake inanuka ushuzi unaamua kupiga kimya.
Nipo kitandani naperuzi Jamiiforums yeye amelala amejamba kama mara 4 hivi.
Shida sio kujamba shida anatoa hewa chafu, inakera sana ukiliambia linacheka cheka tu.
Pumbavu, tabia chafu sana hd
Dah liambie liache hiyo tabia kakaUmetoka kazini umechoka umekaa zako sebuleni anajipitisha na khanga yake inanuka ushuzi unaamua kupiga kimya.
Nipo kitandani naperuzi Jamiiforums yeye amelala amejamba kama mara 4 hivi.
Shida sio kujamba shida anatoa hewa chafu, inakera sana ukiliambia linacheka cheka tu.
Pumbavu, tabia chafu sana hii
ni malezi maana wengine kujamba ni aibu kubwa,atajizuia sana au ataenda kujambia chooni,na iwapo utamtoka ghafla,ataomba radhi sana,mimi nakumbuka nilipata mdada ana umri wa miaka 33 hii ni miaka 30 iliyopita,tulianza mapenzi kwa kupendana na kuheshimiana sana,siku moja ushuzi ulimtoka ghafla aliniomba sana radhi,nikamwambia usijali,ni ubinadamu huwezi kujizuiaInaweza kuwa tatizo la kuzaliwa au malezi.
Kuna watu wanakuwa hivyo na kuna wengine wanakuwa hivyo kulingana na vyakula wanavyoula. Wengine ni malezi niliishi kwa muda mfupi mkoa fulani ilikuwa ni kawaida kwa mtu mzima kwenye watu wengi au kwenye gari kujamba na watu wakaa kimya
Jenhiyo tabia ameanza muda KABLa hamjaoana au baada ya kuoana?
Uwe unamuachia hela ya nyama. Siyo kila siku unamlisha mtoto wa watu ugali na maharage tu, halafu unakuja kutulalamikia humu jukwaani.Umetoka kazini umechoka umekaa zako sebuleni anajipitisha na khanga yake inanuka ushuzi unaamua kupiga kimya.
Nipo kitandani naperuzi Jamiiforums yeye amelala amejamba kama mara 4 hivi.
Shida sio kujamba shida anatoa hewa chafu, inakera sana ukiliambia linacheka cheka tu.
Pumbavu, tabia chafu sana hii
Umetoka kazini umechoka umekaa zako sebuleni anajipitisha na khanga yake inanuka ushuzi unaamua kupiga kimya.
Nipo kitandani naperuzi Jamiiforums yeye amelala amejamba kama mara 4 hivi.
Shida sio kujamba shida anatoa hewa chafu, inakera sana ukiliambia linacheka cheka tu.
Pumbavu, tabia chafu sana hii