Prof Janabi wa JF
Senior Member
- Jul 7, 2023
- 165
- 450
aisee
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Zinaonekanaa tamuuuChapati busati hizo...
Inakera,sana ukijambiwaYani kitu kidogo, mnaanza kuweka siri zenu mitandaoni
Huu ni kweli kabisaumekula jicho mpk mishipa yake imeregea kujizuia hawezi
ushamuharibu
Kuna kipindi nilikua ninajamba aiseeUmetoka kazini umechoka umekaa zako sebuleni anajipitisha na khanga yake inanuka ushuzi unaamua kupiga kimya.
Nipo kitandani naperuzi Jamiiforums yeye amelala amejamba kama mara 4 hivi.
Shida sio kujamba shida anatoa hewa chafu, inakera sana ukiliambia linacheka cheka tu.
Pumbavu, tabia chafu sana hii
Dawa yake ni nini.
Namie nasumbuliwa sana na kujamba/gesi.
Nikienda pharmacy niseme nataka dawa gani. Ama home remedies naweza tumia.
Yanasaidia nini mkuu,kutoa gesi ama ?!Mchemshie majani yanaitwa kashwagara anywe kama chai tuu ni tiba nzuri sana kwa hilo tatizo! Muulize muhaya aliye karibu yako atakuelekeza vizuri
Ulcers uli tibu vipi ikaisha Mkuu ?!Kuna kipindi nilikua ninajamba aisee
Nilikua na tatzo la tumbo,, minyoo,ulcers,vyakula vya gesi,vinaweza kua vinamsumbua