Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Yupo, jaribu kufuatilia maana wafuasi wake wameshajitokeza humu.Haueleweki, nani aliyewahi kusema kashushiwa maandiko?
Ukikariri unatakiwa kusema ukweli kwamba haya mambo nilikariri tu.Kijana kaa kwa tulia
Kama ni rahisi na wewe kakariri
Sent from my Infinix X657 using JamiiForums mobile app
Kwamba jamaa alikopi ili apige hela?Piga hela wewe.
Usiwaseme waliomezani wakila.
Kashushiwa maandiko tofauti na haya yaliyopo au kuna mambo "KAFUNULIWA"Yupo, jaribu kufuatilia maana wafuasi wake wameshajitokeza humu.
Kwahiyo mtume alishushiwa maandiko ambayo tayari yalikuwepo duniani?Kashushiwa maandiko tofauti na haya yaliyopo au kuna mambo "KAFUNULIWA"
Sijawahi kuona mhubiri/mtumishi/Nabii/ Mwinjilisti NK anayesema kashushiwa maandiko zaidi ba Mtume pekee
Dini huwa watu wanaamua tu kuzianzisha?Hata leo wewe unaweza anzisha dini yako ukaipa jina lolote na ukadai Adam, Eliah Jesus etc wote walikuwa wafuasi wa Dini hiyo ukiombwa ushahidi unato scriptures zako wewe mwenyewe kama ushahidi.
Ingefaa zaidi kma ungemtaja uyo aliye kopi na ungesema iko alichokop ili tujibu kma amekopi au hajakopiKuna baadhi ya mambo yanasikitisha sana pale unapoona mtu anaweza kupata wafuasi wengi kwa kuwaeleza kwamba amekuja kwa kutumwa.
Mtu huyo anakusanya yaliyoandikwa kwenye vitabu vilivyopo mjini halafu anakaa mahali anavikariri na kuongezea vichache kisha anasema hivi vyote ni vipya vimeshushwa leoleo.
Jamaa wa meka na madina?Kuna baadhi ya mambo yanasikitisha sana pale unapoona mtu anaweza kupata wafuasi wengi kwa kuwaeleza kwamba amekuja kwa kutumwa.
Mtu huyo anakusanya yaliyoandikwa kwenye vitabu vilivyopo mjini halafu anakaa mahali anavikariri na kuongezea vichache kisha anasema hivi vyote ni vipya vimeshushwa leoleo.
Mbona alikuwa hajui kusoma wala kuhandika aliwezaje!!Jamaa wa meka na madina?
Acha uchokozo bablai😅Kuna baadhi ya mambo yanasikitisha sana pale unapoona mtu anaweza kupata wafuasi wengi kwa kuwaeleza kwamba amekuja kwa kutumwa.
Mtu huyo anakusanya yaliyoandikwa kwenye vitabu vilivyopo mjini halafu anakaa mahali anavikariri na kuongezea vichache kisha anasema hivi vyote
lile swala tozo bado halijaisha vzr mumefufua jingine tenaKuna baadhi ya mambo yanasikitisha sana pale unapoona mtu anaweza kupata wafuasi wengi kwa kuwaeleza kwamba amekuja kwa kutumwa.
Mtu huyo anakusanya yaliyoandikwa kwenye vitabu vilivyopo mjini halafu anakaa mahali anavikariri na kuongezea vichache kisha anasema hivi vyote ni vipya vimeshushwa leoleo.
Hakuna anayeweza kuleta ushahidi wa hilo kwasababu jibril alikuwa anamwambia asome.Mbona alikuwa hajui kusoma wala kuhandika aliwezaje!!
Nani amechokozwa?Acha uchokozo bablai😅
Kwani huyo naye alikopi? Si wanasema alishushiwa na jibril kule mapangoni?Jamaa wa meka na madina?
Mbona umepaniki?Ingefaa zaidi kma ungemtaja uyo aliye kopi na ungesema iko alichokop ili tujibu kma amekopi au hajakopi
Zaidi ya hapo wivu tu unakusumbua
Sijaona dini yoyote iliyotajwa hapa.ACHENI udini safari bado
Hizo habari sio za KweliKwani huyo naye alikopi? Si wanasema alishushiwa na jibril kule mapangoni?
Manuscripts za birmingham za quran ziliandikwa kabla ya kipindi cha muhammad.Hakuna anayeweza kuleta ushahidi wa hilo kwasababu jibril alikuwa anamwambia asome.