Hajui anachotaka huyo, anahangaikaNjoo umalizie kwetu wadada wa mjini degree, exposure, na zaidi ya hayo utapata....sisi ni full package unapatikana wapi hapa mjini?
Ubinadamu ni kazi aseee, akipata mcharuko kero, akipata aliepoa shida, kuna yule mwenye mwanamke anaehitaji attention ni shida, kuna yule mke hampigii simu nae tabu....hatuelewekagi tunahitaji niniSharp in thinking kwenye mambo gani? Au umemfungulia kampuni ameshindwa kuirun?
Ndio aje kwa wadada wa mjini atapata kila kitu hadi asichohitaji π ashindwe yeye tuHajui anachotaka huyo, anahangaika
Amekaa naye mwaka mzima na bado hajambadilisha. Unahisi tatizo liko kwa nani[emoji23]Never ever take a woman for granted.......their naturally so bright and intelligent, wewe ndo mshamba pamoja na ka degree kako, huwajui hao viumbe
Michangamsho huendana pamoja na maradhi kama presha, kisukari na mashambulizi ya moyoπππHafi, anachangamshwa tu....
Tutamuimbia tu parapanda huku tukiwa tumechangamka vile vile....Michangamsho huendana pamoja na maradhi kama presha, kisukari na mashambulizi ya moyoπππ
Ni kazi si ndogo, tatizo kuna watu wanajiona wako perfect kisa wana status flani af kumbe ni kawaida sanaUbinadamu ni kazi aseee, akipata mcharuko kero, akipata aliepoa shida, kuna yule mwenye mwanamke anaehitaji attention ni shida, kuna yule mke hampigii simu nae tabu....hatuelewekagi tunahitaji nini
π π na atakayokutana nayo asije kulalamika, ayapokee kama yalivyo. MwanakulifindNdio aje kwa wadada wa mjini atapata kila kitu hadi asichohitaji π ashindwe yeye tu
Aaahπ€£π€£π€£π€£Tutamuimbia tu parapanda huku tukiwa tumechangamka vile vile....
Kukaa na mtu anaejiona yupo perfect ni mtihani mwingine huo, mtihani wa math....Ni kazi si ndogo, tatizo kuna watu wanajiona wako perfect kisa wana status flani af kumbe ni kawaida sana
We jamaa yawezekana ukawa mwalimu. naona umekomaa na mada ya academic tu kwake.
Mke ni zaidi ya kuzaa, papuchi na kupika Kuna na mambo mengine yatakayofanya maisha yasiwe bored.Yaani hapo ndo haswaa , Mpaka natamani nimpeleke Shule LOL