Unawezaje kumfanya mpenzi wako awe na Exposure?

Unawezaje kumfanya mpenzi wako awe na Exposure?

Nimekuelewa sana mkuu "concern" yako

Unataka mtu wa hadhi yako.. asiyenyuma kwenye masuala "mtambuka" anayeenda na ulimwengu wa habari, sayansi na teke linalokujia.. VEMA ni mhimu binafsi ninaye wa hivyo, tofauti tu ni kuwa wangu yuko tayari kupata maarifa mapya, anapenda kujifunza.

Jaribu kwenda naye pole, dili naye kwa kitu kimoja kimoja, mwisho wa siku ataenda sawa nawe. Tahadhari tu usioneshe kumdharau kwa kutojua vitu/mambo.. fanya kiurafiki zaidi ukimueleza umuhimu wa kuvifahamu.
Haswa mkuu , Yaani upo kichwani kwangu kabisaa . Nimekusoma sana mkuu .👏
 
Kama ni exposure ya kujua Rais wa Rwanda ameingia madarakani lini, Iran ina vinu vingapi vya nuklia nk hayo ni hayamfanyi kutokuwa mama bora wa familia yako.

Omba Mungu awe na IQ kubwa ambayo bahati mbaya haikupata mazingira ya kuibua na kuonesha kipaji chake.
IQ yake atairithisha kwa watoto, IQ hiyo itamsaidia kuwalea watoto kwa njia bora. Itamfanya kutambua wageni ni baraka kwa familia

Mengine atajifunza kutoka kwako. Kwa sababu unaamini kuwa na exposure kuliko yeye atajivunia mumewe kuwa mwalimu wake bora.
Sawa mkuu ...Kwa hiyo IQ yake ikiwa ndogo watoto wangu nimeumiaaa. Duuh
 
Mkuu hapo UDSM kuna maprofesa wameoa watu wenye academic exposure ndogo na wamedumu nao...academia is not amongst the pillars of a healthy marriage !


Wengi walikuwa bored hivyo hivyo kama huyo jamaa Mleta mada!

Waloweza kuishi waliishi nao kimakandamkanda tu.

Kiukweli ni mtihani kuoa au kuolewa na kilaza!
 
Sawa mkuu ...Kwa hiyo IQ yake ikiwa ndogo watoto wangu nimeumiaaa. Duuh
Watoto ni matokeo ya gene combination.
Vipi kama zote zikiwa high au kinyume chake.
Na vipi kama walau mmoja ipo juu mkapata uwezo wa kati?
Najua hakuna asiyependa kilicho bora
 
Kuwa na mwanamke mwenye very low exposure inakera somehow ..lakini km mwanamke huyo huyo anasifa zingine zinazombeba km ,heshima, asiye na tamaa ,mwaminifu na mchapa kazi huyo anafaa kuoa,
DUNIA ya sasa inaenda kasi sana ,technologia inazid kukua ,pengine unahofia watoto wako watakua na Mama wa namna gan lakini trust me , ukipata mwanamke mwenye sifa za mke regardless elimu yake .Oa .
Watoto wa siku hz wanapaswa kufundishwa ujasiriamalia na biashara tangu wakiwa wadogo ,au kuwekeza katika vipaji vyao ,na sio ku focus na ma homework ya shule najua unahofia huyo mwanamke ataweza hata kufuatilia homework za watoto?
Pamoja sana mkuu , umesomeka vyema .
 
Watoto ni matokeo ya gene combination.
Vipi kama zote zikiwa high au kinyume chake.
Na vipi kama walau mmoja ipo juu mkapata uwezo wa kati?
Najua hakuna asiyependa kilicho bora
Okay mkuu nimekusoma vyema sana.
 
Wengi walikuwa bored hivyo hivyo kama huyo jamaa Mleta mada!

Waloweza kuishi waliishi nao kimakandamkanda tu.

Kiukweli ni mtihani kuoa au kuolewa na kilaza!
Yaaani it is real annoying kwa kweli , Inahitaji moyo wa chuma.
 
Akishapata hicho unachotaka sijui exposure utarudi tena hapa kulia lia. Angalia hasa unachotaka kutoka kwake acha mbwembwe.
 
Kwa hiyo Exposure unayejua ni kuliwa tigo? Aiseeee pttuuuuuh ...Guys naongea Academic exposure
Aisee engineer unaandika pttuuuuh
Tuna kazi yakulea vijana wetu.

Kiufupi uhalisia wa maisha haviendani na academic ishu kabisa mambo yakijakuwa mengi ndo utakuja elewa.
 
Mtoa maada nadhani mtu wako kwa sifa ulizo mpa nadhani kinachokukera Ni uwezo mdogo wa kuperform kitandani Sasa inaonyesha wewe una exposure kubwa ya hayo Mambo jitahidi umpe elimu taratibu taratibu[emoji125][emoji125][emoji1787]
 
Back
Top Bottom