Unawezaje kumsamehe mwanaume aliyekusaliti kwa kumleta mwanamke mwingine nyumbani mnakoishi?

Dah!! Usharogwa,pole sana
 
Au dada ujuaji mwingi,kila kila kitu anataka kifanyike anavyotaka yeye,makosa kwa mwenzie akifanya yeye sio kosa,usista duu hadi chumbani,mbususu kwa mgao...
Mwanamme mfanyie ujinga wote ila sio hivyo nilivyovitaja na vingine wanaume tunavijua asee umejila.
 
Hapa umeshaingia vitani, labda hivyo vitu vyako akatumie kwa wema tu.
Ongea na mumeo, mpe madhara ya hivyo vitu vyako kupotea; inawezekana hiyo ndoa yako ikasambaratika
 
Kosa alilofanya ni kukiri kosa,mpaka sasamngekuwa poa tu......mwanaume fanya ufanyavyo usikiri kosa utatengeneza ufa usiozibika
 
Wewe samehe sisi wanaume ndivyo tulivyo bana. Kama kaomba msamaha kwa kumaanisha wewe samehe tu
 
Pole Surbi. Ndoa zina mengi mama muombe sana akuwezeshe kusamehe ili upata amani ya moyo.
 
Duh! Pole,naona hisia za uchungu kwenye haya maandishi it's like nasikia sauti yako.
 
Kwanza huyo mwanaume hana adabu kabisa na hafai kuitwa mume. Kaleta mwanamke ndani ya nyumba unayoishi ni kiwango kikubwa cha chuki alizonazo juu yako. Na hiyo ni moja ya unyanyasi wa kijinsi. Miimi ni mwanaume kamwe katu siwezi kufanya ushetani wa aina hiyo. Unajua anakiwango kikubwa sana cha dharau juu yako. SIKUSHAURI UMESAMEHE. Hilo jambo ni gumu sana anakutafutia urogwe. Hivi inakuwaje mtu anaingiza mwanamke ndani ya chumba chenu inakuwaje. Achana na huyo zimwi. Hakupendi
 
Kuna baadhi yetu wanaume ni wapumbavu sana,unapelekaje malaya nyumbani?kabisa unakoishi na mke na watoto unaokota mwanamke unaenda kulala nae humo?na anadhihirisha upumbavu wake kwa kukiri kufanya hayo!

Ni pombe au kitu gani!!!
Hafu huyo mwanamke mjinga anaacha hereni zake makusudi kabisa
 
Kuna baadhi yetu wanaume ni wapumbavu sana,unapelekaje malaya nyumbani?kabisa unakoishi na mke na watoto unaokota mwanamke unaenda kulala nae humo?na anadhihirisha upumbavu wake kwa kukiri kufanya hayo!

Ni pombe au kitu gani!!!
Hii nilikua najuaga ya demu kumbe broo
 
Ushauri m bovu kumbuka hiyo mi mume wake wa ndoa
 
Uwezekano wa kumsamehe au kutokumsamehe upo ndani ya moyo wako usitegemee Sana kushauriwa na mtu....

Angalia kilichopo within your heart na hayo ndio yatakua maamuzi sahihi kwako
 
Ila wanaume kuna muda tunafanya mautumbo tena ya kitimoto niseme sijuii, unaokotaje takataka unaipeleka nyumbani kwako? Kweli unakolala na mkeo? Alooh kuna mijitu ya hovyo sana yaani. Mwanaume mwenzangu heshimu familia yako, hao makorokocho unapeleka nyumbani kwako vp? Alaah
 
Msamehe japo itakuchukua muda Sana kurudisha Ile trust na upendo wa nyuma Ila tu nakushauri usimuamini binadam ukapitiliza akija kukutenda ndo Kama hvi unaumia kupita kiasi,msameh Ila mpende kwa akili zako timamu
 
Kama amekiri msamehe tu mwaya. Huko njiani kuna vidada viganga vya kienyeji. Kazi yao kuvuruga amani kwenye nyumba za watu kwa gia ya usidechick. Akifanikiwa kuvunja nyumba hiyo anahamia nyumba nyingine.

Nashindwaga kuelewa na sisi wanawake sometimes. Mtu anakwambia ameoa au unajua kabisa ameoa na wewe unajipeleka hata kama umepewa maneno matamu. Ndio maana wengine wanakalishwa chupa na kung'olewa nywele [emoji35]
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…