Unawezaje kuvumilia miaka 2 bila sex kwa mke wako


Akili kichwani utaamua lkn hata alipokuwa mimba ungesex bila madhara tangu miezi 2-3 kimsingi unasaidiwa tangu muda huo
 
Mungu akupe hekima.
 
We unaogopa kumsaliti . mkeo anakusaliti miaka miwili bila sex tena kwa mkeo! Utakuwa na matarajio ya kuishi miaka mingi sana hapo duniani
 
Nilipomwambia tutumie kondomu anadai ana allergies na kondom na hawezi kutumia..
Kwa hiyo mkuu umekuja kututhibitishia kwamba ulioa kahaba? Hizo ndom anazitumia wapi mpaka anakuwa na allergy nazo? Hivi unawezaje kuwa na allergy na kitu ambacho hujawahi kukitumia? Mengine mwe mnabaki nayo majumbani kwenu siyo kila kitu ni for public consumption!
 
Mkeo amekidhi sifa na vigezo vya kuwa Bi Mkubwa.

Unangoja nini kumtunuku cheo chake kinachomstahili?
 
😂😂
 
🤣 🤣 🤣
 
🤣 🤣 🤣
 
Kwako mwalimu kashasha,

Mwalimu kashasha: hapo unatakiwa kupiga curve maana mabeki wana kabia chini
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…