Unawezaje kuvumilia miaka 2 bila sex kwa mke wako

Si Kwa sababu Kuna wanawake wengine au?
 
Nashauri wanandoa tuwe na jukwaa letu

Kataa ndoa huwezi kuwauliza ushauri wa mambo za ndoa wakakushauri vizuri wao ni mafundi vunja vunja
 
Huyo sio mke wako ni dada ako
 
Yaani Mimi nisipopata mwanamke ndani ya siku 2 lazima nile nyeto, wewe unawezaje kukaa miaka miwili bila kugegeda?. Hata mchepuko huna?

Huyo mwanamke ukiwa naye kitandani analala na nguo? Nani anahudumia familia? Wewe au mwanamke?.
Itoshe tu kusema hii mada inakudhalilisha maana inaonesha mapungufu yako ndani ya hiyo ndoa, inaonekana huna kauli mbele ya huyo mwanamke.
 
We asikuzingue, ni yeye tu!
Mi nna watoto 3.
Wawili nimejifungua kawaida , mmoja kwa operation.
Sijawahi kukaa huo muda .
Na hakuna madhara yoyote, aseme tu wana game boring!
We mkeo kabisa ukae miaka miwili unamwangalia tu kwamba ananyonyesha?
mxiiiiiiieee
 
Kumbe wanaume wastaarabu bado wapo,Endelea na moyo hyo huo kaka usichoke
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…