Unawezaje kuvumilia miaka 2 bila sex kwa mke wako

Bro what's your name again??

You deserve an award!!!!!

Nawaza jina la tuzo...litakuwaje
 
Pole sana mkuu.

Umepigwa siasa ukaamini kabisa.

Baada ya miezi 2 tu nilikuwa uwanjani na hakuna kilichoharibika. Ni umakini tu wa kuzingatia kalenda
 
Ndoa zimekuwa kuzungumkuti.... 😁
 
Pole sana mkuu.

Umepigwa siasa ukaamini kabisa.

Baada ya miezi 2 tu nilikuwa uwanjani na hakuna kilichoharibika. Ni umakini tu wa kuzingatia kalenda
Mimi ni Baba wa watoto 4. Kwa mtoto wetu wa Mwisho Glory. Nilikuwa nakula mambo hadi keshokutwa amejifungua. Dada yake kamuuguza na baada ya siku 21, kanipa. Baada ya siku 42 kaenda kufunga kizazi. Jamaa sidhani hata kama huyo mtoto ninwake, anachapiwa dogo.
 
Kama nina kichaa basi subiri Lamomy athibitishe!
Lamomy siku mchukilia serious nilihisi ana mtania half America sasa huyo Lamomy athibitishe yeye ndio alioe onge kwanza sina muda wa kupigizana kelele na mtu asiejielewa sielewi 😒 una fight nini mpka sasa Kama huna hela ya dinner sema tu nikutumie maana masikini kama wewe wahitaji ufadhili sio ziada.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…