Unaye mtu wa kukusikiliza? Kuna muda unapitia hali unapitia unatamani kumweleza mtu mmoja upate ahueni lakini hayupo

Unaye mtu wa kukusikiliza? Kuna muda unapitia hali unapitia unatamani kumweleza mtu mmoja upate ahueni lakini hayupo

Mwanamke wa mithali 31

JF-Expert Member
Joined
Apr 10, 2024
Posts
1,159
Reaction score
2,577
Mimi Sina mtu wa kumweleza,Sina mtu wa kunisikiliza,

Kuna wakati unapitia hali flani una wish angekuwepo mtu M,Moja na akusikilize tu.

SISI ni wale tumezaliwa kwenye familia za baba huku na mama kule,

Nataka kusema hivi msifanye makosa haya,

Kuzaa Kila mtoto na baba yake,

Kuzaa Kila mtoto na mama yake,

Hii ni mbaya mnoo mimi nimezaliwa kwenye familia ya AINA hii kwahyo,hakuna upendo kati yetu
 
Mimi Sina mtu wa kumweleza,Sina mtu wa kunisikiliza,

Kuna wakati unapitia hali flani una wish angekuwepo mtu M,Moja na akusikilize tu.

SISI ni wale tumezaliwa kwenye familia za baba huku na mama kule,

Nataka kusema hivi msifanye makosa haya,

Kuzaa Kila mtoto na baba yake,

Kuzaa Kila mtoto na mama yake,

Hii ni mbaya mnoo mimi nimezaliwa kwenye familia ya AINA hii kwahyo,hakuna upendo kati yetu
Usiilaumu familia katika maisha yako kwa kuwa ni jamii uliyojikuta ndani yake tayari, huna jinsi.

Je wewe maisha yako umeyajenga vipi? Kwanini umeshindwa kutengeneza watu/mtu wa kumuamini ambaye utaweza kuongea nao/naye chochote ukapata amani?

Binafsi katika familia yetu siwezi kuwa huru kuongea kila kitu, ila Mungu amenijalia mwenza anayenisikiliza kwa vyote na kuniongoza vyema.
Najivunia sana hilo
 
Mimi ni kama wewe,
Nnachofanya huwa nasikiliza sana nyimbo za kuabudu au nafanya maombi inanisaidia sana kupunguza mzigo nafsini!
Na ukweli ni kwamba heri uwe mwenyewe kuliko ujihisi mko wawili kumbe ukishamwambia mwenzio nae anaenda kuwaambia wenzie!
Maumivu yake ni zaidi hata ya magumu uliyonayo mwanzoni!
 
Da Joanne tubaki kwanza hapa kwenye
Mimi Sina mtu wa kumweleza,Sina mtu wa kunisikiliza,

Kuna wakati unapitia hali flani una wish angekuwepo mtu M,Moja na akusikilize tu.

yapi?yaliyojili kwa upande wako sisi ni familia kuwa nasisi tu inatosha tushee kidogo changamoto.pengine unaweza pata mtu wa kukusikiliza na kumweleza vilevile.unaonekana upo kwenye tough situation.
 
Usiilaumu familia katika maisha yako kwa kuwa ni jamii uliyojikuta ndani yake tayari, huna jinsi.

Je wewe maisha yako umeyajenga vipi? Kwanini umeshindwa kutengeneza watu/mtu wa kumuamini ambaye utaweza kuongea nao/naye chochote ukapata amani?

Binafsi katika familia yetu siwezi kuwa huru kuongea kila kitu, ila Mungu amenijalia mwenza anayenisikiliza kwa vyote na kuniongoza vyema.
Najivunia sana hilo
Mimi ninamuomba Mungu anisaidie,niweze kuitengeneza familia yangu na nisiludie makosa yaliyofanywa na wazazi wangu
 
Da Joanne tubaki kwanza hapa kwenye
Mimi Sina mtu wa kumweleza,Sina mtu wa kunisikiliza,

Kuna wakati unapitia hali flani una wish angekuwepo mtu M,Moja na akusikilize tu.


yapi?yaliyojili kwa upande wako sisi ni familia kuwa nasisi tu inatosha tushee kidogo changamoto.pengine unaweza pata mtu wa kukusikiliza na kumweleza vilevile.unaonekana upo kwenye tough situation.
Kuna vipindi unapitia kama binaadamu lakin unataman kumueleza mtu m,moja atakae kusikiliza lakini hayupo.

Basi napiga magoti na kumueleza Mungu
 
Huwa nataman Mama yangu na Baba yangu wangeoana, mambo ya Baba huku Mama kule yananiumiza sana.

Kuna wakati unapitia situation mbovu kwel na hauna hata wakumuelezea ukimuelezea Mama ndio hvo hajiwez kiuchumi ,Baba nae yupo busy na mke na family yake huko unabaki tu kumuachia Mungu.

Hali hiyo imefanya nlishindwa hata kuendelea na Masomo yn bas tu bana, hata hapa npo na wakati mgumu na sina wakumwambia sjui awamu hii litaisha vp dah.
 
Pole sana mkuu, huna rafiki unaemuamini kidogo ukashea nae mapito yako hata kidogo?

Mimi namshukuru Mungu magumu yangu nayamudu na sipendi kushirikisha watu.
Hata marafiki nawo Sina,wapo wale wa salamu za juu juu ...

Ila nafahamu kua yupo Yesu ni rafiki mzurii mnoo na amenitoa mbali sana
 
Huwa nataman Mama yangu na Baba yangu wangeoana, mambo ya Baba huku Mama kule yananiumiza sana.

Kuna wakati unapitia situation mbovu kwel na hauna hata wakumuelezea ukimuelezea Mama ndio hvo hajiwez kiuchumi ,Baba nae yupo busy na mke na family yake huko unabaki tu kumuachia Mungu.

Hali hiyo imefanya nlishindwa hata kuendelea na Masomo yn bas tu bana, hata hapa npo na wakati mgumu na sina wakumwambia sjui awamu hii litaisha vp dah.
Hii ni mbaya mnoo ila hatuna budi kumshukuru Mungu
 
Hata marafiki nawo Sina,wapo wale wa salamu za juu juu ...

Ila nafahamu kua yupo Yesu ni rafiki mzurii mnoo na amenitoa mbali sana
Marafiki ni familia unayojichagulia mwenyewe, ni familia tofauti na ya ndugu wa kuzaliwa. Life style yako pia inachangia kupata marafiki au kutokupata.

Yesu yupo tunaamini ila kuwa na watu karibu ni vizuri zaidi.
 
Mimi Sina mtu wa kumweleza,Sina mtu wa kunisikiliza,

Kuna wakati unapitia hali flani una wish angekuwepo mtu M,Moja na akusikilize tu.

SISI ni wale tumezaliwa kwenye familia za baba huku na mama kule,

Nataka kusema hivi msifanye makosa haya,

Kuzaa Kila mtoto na baba yake,

Kuzaa Kila mtoto na mama yake,

Hii ni mbaya mnoo mimi nimezaliwa kwenye familia ya AINA hii kwahyo,hakuna upendo kati yetu
Njoo inbobo mama uckubli kuumia kizembe kwa ujinga wa wengine
 
Mimi Sina mtu wa kumweleza,Sina mtu wa kunisikiliza,

Kuna wakati unapitia hali flani una wish angekuwepo mtu M,Moja na akusikilize tu.

SISI ni wale tumezaliwa kwenye familia za baba huku na mama kule,

Nataka kusema hivi msifanye makosa haya,

Kuzaa Kila mtoto na baba yake,

Kuzaa Kila mtoto na mama yake,

Hii ni mbaya mnoo mimi nimezaliwa kwenye familia ya AINA hii kwahyo,hakuna upendo kati yetu
Sijui kwanini nimemkumbuka Mama pretty
 
Back
Top Bottom