Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mimi Sina mtu wa kumweleza,Sina mtu wa kunisikiliza,
Kuna wakati unapitia hali flani una wish angekuwepo mtu M,Moja na akusikilize tu.
SISI ni wale tumezaliwa kwenye familia za baba huku na mama kule,
Nataka kusema hivi msifanye makosa haya,
Kuzaa Kila mtoto na baba yake,
Kuzaa Kila mtoto na mama yake,
Hii ni mbaya mnoo mimi nimezaliwa kwenye familia ya AINA hii kwahyo,hakuna upendo kati yetu
Sio wewe bana aaarg 😀Hilo ni jambo zuri rafiki yangu, karibu tena
Mimi Sina mtu wa kumweleza,Sina mtu wa kunisikiliza,
Kuna wakati unapitia hali flani una wish angekuwepo mtu M,Moja na akusikilize tu.
SISI ni wale tumezaliwa kwenye familia za baba huku na mama kule,
Nataka kusema hivi msifanye makosa haya,
Kuzaa Kila mtoto na baba yake,
Kuzaa Kila mtoto na mama yake,
Hii ni mbaya mnoo mimi nimezaliwa kwenye familia ya AINA hii kwahyo,hakuna upendo kati yetu
Hujampata mwenzi was kumwambia!!?Mimi Sina mtu wa kumweleza,Sina mtu wa kunisikiliza,
Kuna wakati unapitia hali flani una wish angekuwepo mtu M,Moja na akusikilize tu.
SISI ni wale tumezaliwa kwenye familia za baba huku na mama kule,
Nataka kusema hivi msifanye makosa haya,
Kuzaa Kila mtoto na baba yake,
Kuzaa Kila mtoto na mama yake,
Hii ni mbaya mnoo mimi nimezaliwa kwenye familia ya AINA hii kwahyo,hakuna upendo kati yetu
Huko juu unaniuliza why nimekubali kuzaliwa kwenye familia kama hiyo serious ?
Ooh Ahsante sanaNimependa Jina lako .
Sina mahusiano kwa Sasa,hata yalipokuwepo sikuweza kushare naye changamoto kwasababu sikuona kama angenipa nafas ya kunisikilizaHujampata mwenzi was kumwambia!!?
AminaHili tatizo linawasumbua wakina mama zaidi. Ila inawasaidia kutokufa mapema.
Mimi huwa sitaki mtu, nikiomba nimemaliza. Sitaki tena kuzungumzia kitu ambacho nimeshamkabidhi Mungu akishughulikie.
Kuna watu huwa wanaona sifa, ila hili jambo lina madhara sana kijamii na kisaikolojia.Kuzaa Kila mtoto na baba yake,
Kuzaa Kila mtoto na mama yake,
Hii ni mbaya mnoo mimi nimezaliwa kwenye familia ya AINA hii kwahyo,hakuna upendo kati yetu
Hatutaki kufanya hivyo mahi wangu, muda bado na hata ukifika hiyo stage tulishavuka.Huyo mwenza wako anavyouchunaga utasema hayupo humu😁
Niambie mimi, huyo dogo amekuwa michosho sana😅😅
Unaonekana haupo interested kunisikiliza. Nimegundua nikikwambia yanayonisibu unakaa mbali na mimi..so siongei tena.
Halafu ulipotea wapi?
Acha kuzingua, kwa hiyo nikimpenda mtu nikitaka tupeane genes zetu kuna shida?Kuna watu huwa wanaona sifa, ila hili jambo lina madhara sana kijamii na kisaikolojia.
Mi ni kama wewe, yakinizidi Huwa natafuta chemba, peke yangu naongea na Mungu asiyeonekana Tena kwa kujiamini as if tuko wawili, note siyo kwamba nasali, ila nazungumza a way you can to a friend,SISI ni wale tumezaliwa kwenye familia za baba huku na mama kule,
Ha haaaNiambie mimi, huyo dogo amekuwa michosho sana
Ongeza kidogo, ukifika 92 tunaanza rasmi🤣Ha haaa
Mimi na wewe tuna jambo letu bado lipo pending...
Uzito umenizidia nakaribia kushindwa kutembea. Natafuta patner wa Gym
Naona huna nia njema na mimi kabisa..hadi nipate pressure na sukari ndo utafurahiOngeza kidogo, ukifika 92 tunaanza rasmi🤣
Utakuwa na nyama za kutosha kwa ajili ya mambo yetu🤣Naona huna nia njema na mimi kabisa..hadi nipate pressure na sukari ndo utafurahi