Unaye mtu wa kukusikiliza? Kuna muda unapitia hali unapitia unatamani kumweleza mtu mmoja upate ahueni lakini hayupo

Unaye mtu wa kukusikiliza? Kuna muda unapitia hali unapitia unatamani kumweleza mtu mmoja upate ahueni lakini hayupo

Mimi Sina mtu wa kumweleza,Sina mtu wa kunisikiliza,

Kuna wakati unapitia hali flani una wish angekuwepo mtu M,Moja na akusikilize tu.

SISI ni wale tumezaliwa kwenye familia za baba huku na mama kule,

Nataka kusema hivi msifanye makosa haya,

Kuzaa Kila mtoto na baba yake,

Kuzaa Kila mtoto na mama yake,

Hii ni mbaya mnoo mimi nimezaliwa kwenye familia ya AINA hii kwahyo,hakuna upendo kati yetu
Pole sana..... Njoo pm
 
Kiukweli natamani sn niwe na mtu wa kumwambia na kuongea naye.Ninayo mengi sana na sielewi nifanyeje?
 
Mimi Sina mtu wa kumweleza,Sina mtu wa kunisikiliza,

Kuna wakati unapitia hali flani una wish angekuwepo mtu M,Moja na akusikilize tu.

SISI ni wale tumezaliwa kwenye familia za baba huku na mama kule,

Nataka kusema hivi msifanye makosa haya,

Kuzaa Kila mtoto na baba yake,

Kuzaa Kila mtoto na mama yake,

Hii ni mbaya mnoo mimi nimezaliwa kwenye familia ya AINA hii kwahyo,hakuna upendo kati yetu
Pole sana.
Najua upo katika hali gani sasa, jipe moyo acha kuwaza sana watu ambao wamekutenga hasa familia. Kama unapata mahitaji muhimu. Jaribu kutafta jambo la kukufanya uwe bize, pia jaribu kwenda kwenye nyumba za ibada kama unaamini. Tafta mahubiri uwe unasikiliza YouTube au muziki au movie zenye mafundisho. Usijihisi mpweke hicho ndo kinachangia pia watu wasichangamane nawe.
 
nyie watu ndo amfai hata kuwa dated. nasema single parents families sio za kuoa due to this.

I tried before. nikaona mwenzangu kama ana wivu how I live with my parents. anataka kunigeuza mimi mzazi anataka kutumia my power kuwaheshimisha wengine. watu wa muone ameweza. I walked away. mna kila tabia mbaya.

you have no one kwa sababu how your raised. complete family ambao tupo pamoja. we talk openly we are mostly happy. hata dunia nzima ipoteee

tulio toka familia za wazazi wote. familia bora tuna upendo na ni watu wawazi sana.

nyie wa broken families tafuteni another broken families. instead mtatengeneza another broken families
Sawa mtumishi
 
Pole sana.
Najua upo katika hali gani sasa, jipe moyo acha kuwaza sana watu ambao wamekutenga hasa familia. Kama unapata mahitaji muhimu. Jaribu kutafta jambo la kukufanya uwe bize, pia jaribu kwenda kwenye nyumba za ibada kama unaamini. Tafta mahubiri uwe unasikiliza YouTube au muziki au movie zenye mafundisho. Usijihisi mpweke hicho ndo kinachangia pia watu wasichangamane nawe.
Sawa ahsante sana
 
Ishini maisha sasa,ule utoto wa kudhani ndugu pekee ndiye mtu muhimu ktk maisha muusahau.
Unaweza kuja mjini hapa au kwingine,ukakutana na mtu au watu kadhaa ukatokea kuwaamini nao kukuamini kuliko hata ndugu zako wa damu.

Fikiria sekunde kadhaa hapo,sasa hivi ni nani ktk circle yako ya marafiki atakuwa wa kwanza kujua endapo umekamatwa na polisi,unaumwa sana,una shida na ushauri nk.

Mungu aliweka siri kubwa sana ktk hilo,hata wanafiki na waovu wana rafiki zao ambao hujisikia aman kuwaambia jambo lolote.
 
Kuna siku nikaenda kupima ngoma. Nesi akaniuliza nikikupa majibu mtu wa kwanza kumshirikisha ni nani? Nikamwambia sina. Akashangaaa snaa
 
Pole sana, binafsi nimepitia mengi mno lakini yote nimeyamudu bila kumshirikisha yeyote yule, naisubiri Kwa hamu siku ambayo moyo wangu utakapojaa.
 
Mnaweza kuzaliwa baba na mama mmoja bado msielewane au hujawahi kusikia ndg wamoja wanafanyiana fitina ktk maisha? Tafuta rafiki km huna kuna viongozi wa kiroho sio mpk awe mchungaji au mtume na nabii, mtaani unapoishi wapo watu waume kwa wake wenye umri wa wazazi wako fuata hao watakusaidia sababu wameona mengi
 
Back
Top Bottom