Lamomy
JF-Expert Member
- Sep 4, 2023
- 25,425
- 59,309
Kwanza jifundishe kujipenda mwenyewe, huu upendo wa kutaka upendwe na wengine mara nyingi ndio utakuumiza zaidi..!!
Ukiwa na magumu sana omba Mungu na sali ili kukuondolea ule uchungu uliokuwa nao au yale yanayokusibu..!! Hii tabia ya kumwambia mtu vitu vyako kuna wengine hawana vifua utayakuta nje na itakuumiza zaidi.
Bora mara mia zaidi yakikushinda uyalete JF huku utakuta wa kukushauri vizuri, bila kusahau ndugu zangu wa backbenchers hao wanajibu kile kinachowajia muda huo. Lkn hautokosa cha kukufariji na kukuponya majeraha.
Ukiwa na magumu sana omba Mungu na sali ili kukuondolea ule uchungu uliokuwa nao au yale yanayokusibu..!! Hii tabia ya kumwambia mtu vitu vyako kuna wengine hawana vifua utayakuta nje na itakuumiza zaidi.
Bora mara mia zaidi yakikushinda uyalete JF huku utakuta wa kukushauri vizuri, bila kusahau ndugu zangu wa backbenchers hao wanajibu kile kinachowajia muda huo. Lkn hautokosa cha kukufariji na kukuponya majeraha.