Unayeshiriki kupinga ndoa, wewe ni wakala wa shetani

Sister Abigail

JF-Expert Member
Joined
Sep 2, 2020
Posts
2,886
Reaction score
9,088
Wewe ni wakala wa shetani,mlitajwa hata kwenye maandiko matakatifu. Vijakazi wa yule mwovu katika kumrasishia kuvuna watu zaidi kupitia zinaa na uzinzi + uasherati. Zama hizi za mwisho.

Wakati Mwenyezi Mungu akituamuru tusizini,nyie mko busy kuwahamasisha watu wazini,na kujiepusha na ndoa.. Kama ilikua mbaya kwako ina maana kwa wote itakuwa mbaya? Kama ulikosea kuoa asie sahihi hakutakua kabisa na mwenza sahihi?

Oohh kataa ndoa,ndoa ni utumwa
Ndoa utapeli..
Endeleeni kumsaidia baba yenu ibilisi kuvuna watu!
Na ujira wenu mtaupata!


 
Wakiwazuia watu wasioe

Ndugu mada hakuna anayemzuia mtu asioe.l, kinachofanyika ni kuwashauri wasioe.

Neno kuzuia ukiangangalia kwenye kamusi ya TUKI Ina maana ya matumizi ya nguvu ktk kulifanya Jambo fulani lisifanyike ama kutokea".
 
Sasa hizi za siku hizi na nyie ndiyo mnaziita ndoa? Kuna ndoa siku hizi?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…