Sister Abigail
JF-Expert Member
- Sep 2, 2020
- 2,886
- 9,088
- Thread starter
- #21
Useja usiojihusisha na ngono..Acha kututisha hata Yesu mwenyewe alisema useja ni zawadi.
Lakini nyie mnaweza kutooa na kujizuia kufanya ngono?
Mahanith nyie?
Vijana wa kizazi hiki nnaowajua mie[emoji16][emoji16]