Wawili wengine hapa wanakaribia kuzaa, Kwa kweli nawafuatilia kiukaribu. Maumivu ya kupoteza Mifugo ni makubwa sana. I've learntThen hapo ndipo tunarudi kwenye maneno yangu mkuu
Ng'ombe punde ulipogundua ana mimba ulitakiwa kum monitor sana sana yule sio binadamu ajifungue mwenyewe.
Ungekuwa naye kariba ungejua naye angekuonesha kuwa sasa anataka kujifungua msaidie lakini ukamuacha.ndama mwenyewe anazaliwa mkubwa sometime kichwa kinakwama ndani juu wakati mikono imetokeza anasukumizaje?
Next time kuwa kariba na wakipata mimba
Yaani hapo kasheshe 😂😀😂😂Unamnyonya pua ndama mkuu vyote vilivyopo usoni punde ndama anapotoka otherwise anakufa
Unapokula nyama ya ng'ombe jua kuna watu wameteseka kufanya wewe uleYaani hapo kasheshe 😂😀😂😂
Safi mkuu glad umejifunzaWawili wengine hapa wanakaribia kuzaa, Kwa kweli nawafuatilia kiukaribu. Maumivu ya kupoteza Mifugo ni makubwa sana. I've learnt
Wao sijui mkuuKwa hiyo wazungu nao huwa wanawanyonya ndama pua, mdomo na masikio wanapozaliwa
Akiwa anakaribia kujifungua uke unakuwa umeachia sana na kuna majimaji yanakuwa yapo yapo ujue hapo usicheze mbali sanaWawili wengine hapa wanakaribia kuzaa, Kwa kweli nawafuatilia kiukaribu. Maumivu ya kupoteza Mifugo ni makubwa sana. I've learnt
Sijazungumzia idadi nimezungumzia kunyonya.Wao sijui mkuu
Lakini waafrika tuna ways zetu na ndio hizo unapoona baba yako ana ng'ombe buku ujue amameintain status sababu ya kutumia hizi hizi old ways
Mzungu gani ana ng'ombe buku? Anawaweka wapi?
🤣🤣maajabuNa akitaka kupandwa mbususu inabadilika pia😂😂. Ila Mungu huyu.
Sio kunyonya tu bali kuwachunga na kuwafuatiliaSijazungumzia idadi nimezungumzia kunyonya.
Inaonekana akina ASAS na Tanga Dairy watakuwa wana vijana wamewaajiri kwa kazi ya kunyonya masikio, midomo na pua za vindama vinavyozaliwa
Hata hivyo sawa unampangusa na kumtikisa tikisa hasa kichwaniHili la kunyonya ndama masikio na pua sijawahi kuliona katika jamii yangu.
Kule ng'ombe anasaidiwa kuzaa, kisha mtoto anapanguswa tu.
Wala hawafi.
Hahaha mkuu kwa kweli ilikuwa burudani ubaya ng'ombe huwa wanakuwa na bifu muda mrefu hasa kugombania demuKitu namisi ni kuona zile battle za madume ya mafahali.
Tukiwa machalii wadogo tulikuwa tunachonganisha mafahali halafu tunakaa kuangalia battle.
Wale mafahali wanafikia hatua ya kuwa na bifu na unakuta wako busy kunoa pembe zao kwenye vichuguu.
Umeona hilo tu?Ng'ombe wanazaa, kujifungua ni binadamu, kiswahili sanifu
OK pamoja sana mwaka mpya huu tuanze na mambo mapyaIna maana hujaona hapo juu nimesifia, nawe umeona hili tu, halafu mbona nimesema kistaarabu tu basi pole naona umeumia sana
Paka ni kweli kabisa utadhani mtoto wa mwenye nyumbaPaka ni mnafki sana na msaliti , pia anamajivuno na msafi sana , kuna mda ana dharau mpka boss wake.