chukuachako
JF-Expert Member
- Nov 13, 2014
- 1,209
- 817
Ndo misiba ya watu waloendelea hapo kenya tu cku ya mazishi hua mwenye uwezo wa kujiremba na kwenda saloon anaenda yaani hyo cku ni full kupendezahata kama account inasoma "not to that extent" kajiremba balaa
zari ni very strong kwakweli..amedhalilishwa vya kutosha kisa mali....anasemwa ye ndo anamezea mate urithi..kumbe wapo wengi wanafki wasiochoka kunyooshea vidole wenzao
huyo mjomba hana haya wala hiyana kuomba eti watoto wakapimwe DNA kisa mali za marehemu!??
haoni kama anamdhalilisha zari mbele ya watu?
hivi ivan angekuwa hai angeweza kuongea hili?
miaka yote hiyo kama mjomba anamuona kabisa ivan anazaa watoto akiwa kwenye ndoa na zari..ivan yupo very proud na wanae na anakuwa responsible father..leo unasisitiza dna eti tujue if they are ivans blood kids or not...na majibu mkienda kufanya rafu zenu mkaja kuonyesha sio watoto wa ivan nini kinafuatia?
mroho wa mali ni ndugu wa ivan au zari??
acheni unafki
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]nmecheka kwa nguvu
mpaka watu wamegeuka[emoji23][emoji23][emoji23] uwiii!
usinikumbushe Jovaaaaaa, Kansondokilee[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji15] [emoji23] [emoji23] [emoji15]Siku akifa Mond ndio itakuwa shughuli maana ataachiwa mali zote ndio hawa wazaramo wa Kigoma watakesha na kulala Instagram
"not to that extent" feelings never lie,feelings never hide,kama unazo unazo tu kama huna huna tu,anyways "ya ngoswe tumuachie ngoswe".hao watoto ni wadogo Sana,miili isikudanganye.
Wasubiri mpaka 40.mimi ndugu zangu kuna mambo ya ajabu wamenifanyia kuhusu miradhi ya mzee.ila nimemuachia mungu.sasa watu wataweka macho kwa marehemu ili iweje
hahahahhaahha umefanya nicheke sredi ya msiba ujue!Unataka alie kama wangoni?
YAKO NZURI IPELEKE MISS WORLD!Zari ana roho mbaya sanaaa..
[emoji23] [emoji23] [emoji23]Unataka alie kama wangoni?
wanyakyusa ndo wanachukua hadi vipaza sauti kupigilia yowe
Sio Mume ni MtalakaWatu wana moyo video zote sijaona zari akilia kwa uchungu Nijuavyo kumpoteza mme ni kitu kikubwa sana. Nilitegemea kuona akipiga ukunga na mda huu angekua hata sauti haitoki, wiki mzima mfiwa sauti haitoki kabisa dah ana moyo.
mfiwa anapataga nguvu wapi kushika maiki akaongea? Sauti mubashara?mmmh? Au kwa kuwa ana mme kipenzi?
Anyway ni mtizamo wangu msinihukumu huwa niko emotional
Apumzike ivan.
Masikin siku zote ndio hulia zaid....hasa wew inaonekana maskin sana ndo maan hata nawazo yako yanakutuma kupiga ukungaWatu wana moyo video zote sijaona zari akilia kwa uchungu Nijuavyo kumpoteza mme ni kitu kikubwa sana. Nilitegemea kuona akipiga ukunga na mda huu angekua hata sauti haitoki, wiki mzima mfiwa sauti haitoki kabisa dah ana moyo.
mfiwa anapataga nguvu wapi kushika maiki akaongea? Sauti mubashara?mmmh? Au kwa kuwa ana mme kipenzi?
Anyway ni mtizamo wangu msinihukumu huwa niko emotional
Apumzike ivan.
Akilia sna ndo atafufuka?Watu wana moyo video zote sijaona zari akilia kwa uchungu Nijuavyo kumpoteza mme ni kitu kikubwa sana. Nilitegemea kuona akipiga ukunga na mda huu angekua hata sauti haitoki, wiki mzima mfiwa sauti haitoki kabisa dah ana moyo.
mfiwa anapataga nguvu wapi kushika maiki akaongea? Sauti mubashara?mmmh? Au kwa kuwa ana mme kipenzi?
Anyway ni mtizamo wangu msinihukumu huwa niko emotional
Apumzike ivan.
Ulitegemea? Like seriously? Watu wengne mnachekesha, eti nilitegemea...yeye maisha yake yanakuhusu nini? Wewe endelea kutegemea, ukimaliza kutegemea vya zari you can then mind your businessWatu wana moyo video zote sijaona zari akilia kwa uchungu Nijuavyo kumpoteza mme ni kitu kikubwa sana. Nilitegemea kuona akipiga ukunga na mda huu angekua hata sauti haitoki, wiki mzima mfiwa sauti haitoki kabisa dah ana moyo.
mfiwa anapataga nguvu wapi kushika maiki akaongea? Sauti mubashara?mmmh? Au kwa kuwa ana mme kipenzi?
Anyway ni mtizamo wangu msinihukumu huwa niko emotional
Apumzike ivan.
Mjomba naye anataka urithi , yaani mwanamme mzima anataka mteremkoWabongo bwana ni wabongo tu,esp wanawake hatupendani.
Zari ana akili sana,atalilia bedroom kwake akishaweka mambo sawa,siku zote mnaambiwa ikitokea mme katangulia na ana Mali kaacha,usikurupuke na yowe,Anza kutunza docs muhimu,card za bank na vingine muhimu fungia then ndio uanze kulia.
hapo amenifurahisha,ana watoto,watu ni wengi.lazima awachunge vizuri na awe strong.
hongera zari,lazima uwe makini na kuangalia Mali za watoto.
Mali siku zote ni ya watoto si ya ndugu.
[emoji2] [emoji2] [emoji2] [emoji2] afu kuna mijitu mingne inasupport kisa wivu kwa zari...Mj
Mjomba naye anataka urithi , yaani mwanamme mzima anataka mteremko