Undisputed Truth: Pengine Ommy Dimpoz akawa ndo msanii anaemiliki mwanamke mrembo kuliko wote Tanzania

Undisputed Truth: Pengine Ommy Dimpoz akawa ndo msanii anaemiliki mwanamke mrembo kuliko wote Tanzania

Ughonile..

Mwaka Jana nilienda Zanzibar kwa ajili ya vacation na mchepuko wangu, wiki niliyofika ndo kulikua na maandalizi ya Tamasha la Mama Kizimkazi ambapo sehemu niliyofikia pia ilikua kwenye ratiba za Bi Tozo [Paje kwa Bibi yake na Zuchu]

Villa niliyokua nimebook ndo apoapo walokuwa wamebook Ommy Dimpoz, Majizzo na timu yao [bodyguards to be specific]

Luckily villa aliokua anakaa tulikua jirani sana kiasi ambacho mtu akiwa anatoka au anaingia upande wa pili ukiwa kwenye Balcony anaona kila kitu.

Siku anacheck-in alikua peke yake na mpenzi wake ndo baadae akina Majizzo wakafuatia, so nikiwa natoka kwenda excursion nilishangaa kumwona anatembea na huyo mpenzi wake wakiwa wameshikana viuno tukapeana tu hi pale kila mtu akaendelea na ratiba zake.

Huyo mpenzi wake itoshe tu kusema kuwa ni mrembo sana, ni mrefu, rangi ya chocolate, kajaliwa shape na kwa jinsi nilivyomtathmini pengine ikawa ni pisi kali kuliko za masuperstar wengi Bongo hii.

My Take: Privacy is power, endeleeni kumhisi ni upinde maana hamumpunguzii wala kumwongezea chochote kwenye maisha yake..!
Hivi mtu unajuaje kuwa mwanamke fulani ni mrembo au si mrembo
 
Diamond ndio alimiliki wanawake warembo kina zari, mobeto, natasha na wema, hata huyu zuchu ni mrembo. Wanaofuatia kumiliki wanawake warembo ni majizo na bilnas, nandy na lulu si wa kuchulia poa
Huyo wa Ommy Dimpoz unamjua au umeandika kwa ushabiki? Hao akina Zari sijui Mobeto wote ni Maex
 
Ugonile..

Mwaka Jana nilienda Zanzibar kwa ajili ya vacation na mchepuko wangu, wiki niliyofika ndo kulikua na maandalizi ya Tamasha la Mama Kizimkazi ambapo sehemu niliyofikia pia ilikua kwenye ratiba za Bi Tozo [Paje kwa Bibi yake na Zuchu]

Villa niliyokua nimebook ndo apoapo walokuwa wamebook Ommy Dimpoz, Majizzo na timu yao [bodyguards to be specific]

Luckily villa aliokua anakaa tulikua jirani sana kiasi ambacho mtu akiwa anatoka au anaingia upande wa pili ukiwa kwenye Balcony anaona kila kitu.

Siku anacheck-in alikua peke yake na mpenzi wake ndo baadae akina Majizzo wakafuatia, so nikiwa natoka kwenda excursion nilishangaa kumwona anatembea na huyo mpenzi wake wakiwa wameshikana viuno tukapeana tu hi pale kila mtu akaendelea na ratiba zake.

Huyo mpenzi wake itoshe tu kusema kuwa ni mrembo sana, ni mrefu, rangi ya chocolate, kajaliwa shape na kwa jinsi nilivyomtathmini pengine ikawa ni pisi kali kuliko za masuperstar wengi Bongo hii.

My Take: Privacy is power, endeleeni kumhisi ni upinde maana hamumpunguzii wala kumwongezea chochote kwenye maisha yake..!
Wewe itakuwa ni Omary mwenyewe umekuja kujisafisha hapa...
 
Naona alitaka kuandika ugonile
...na bado atabisha, maana hiki kizazi cha siku hizi kinapotosha kila kitu. Badala ya kuandika inavotakiwa, wenyewe wanaandika inavyotamkwa. Makabila yote lugha zao zina namna ya kuandika na namna ya kutamka, kinyakyusa cha siku hizi sababu ya ulimbukeni wao ndiyo pekee hawatofautishi na matokeo yake maandishi yanakua na miherufi mingi bila sababu.
 
...na bado atabisha, maana hiki kizazi cha siku hizi kinapotosha kila kitu. Badala ya kuandika inavotakiwa, wenyewe wanaandika inavyotamkwa. Makabila yote lugha zao zina namna ya kuandika na namna ya kutamka, kinyakyusa cha siku hizi sababu ya ulimbukeni wao ndiyo pekee hawatofautishi na matokeo yake maandishi yanakua na miherufi mingi bila sababu.
Wengi hawasomi vitabu au hata Biblia ya kinyakyusa inakuwa ngumu kujua lakini ni wepesi kuleta ubishi, ni juzi tu mtu nimemuelekeza kuhusu hilo akaishia kuniambia "mjuaji"
 
Back
Top Bottom