UNGA: Speech ya Ruto dakika 29 yote katoa kichwani, Majaliwa dakika 16 tu kasoma makaratasi

Ile ya kiume zaidi, ingawa walijifanya kuondoka ukumbini wasiisikilize cha ajabu baadaye wakaanza kuijibu, kumbe walienda kusikilizia vyumbani mwao.
Dah nimeicheki jamaa kaongea kwa ueledi sana ni kama kusema kapiga bunker buster ndani ya in headquarters
Kamwambia Iran hakuna sehem nchini kwako siwezi kukupiga hapo hapo Irani wamemkimbiza khamein sijui kwenda wapi!!
Usikute alipo yupo kwa myahudi
 
Dah nimeicheki jamaa kaongea kwa ueledi sana ni kama kusema kapiga bunker buster ndani ya in headquarters
Kamwambia Iran hakuna sehem nchini kwako siwezi kukupiga hapo hapo Irani wamemkimbiza khamein sijui kwenda wapi!!
Usikute alipo yupo kwa myahudi
Labda wamemkimbiza kwenda kumficha either Urusi au Uturuki🤣🤣
Au wameshamstukia kuwa ni MOSSAD agent hivyo wanajifanya kumficha kumbe wanaenda kumuweka mahala kuhakikisha wanamminya hadi anauyaja mtandao wote🤣🤣🤣
 
Labda wamemkimbiza kwenda kumficha either Urusi au Uturuki🤣🤣
Au wameshamstukia kuwa ni MOSSAD agent hivyo wanajifanya kumficha kumbe wanaenda kumuweka mahala kuhakikisha wanamminya hadi anauyaja mtandao wote🤣🤣🤣
Mrusi hawezi kabisa vita na Israel na haitaki maana FSB na kremlini wamejaa wayahudi tupu
Shida ya Jews ni kwamba wako loyal mno kwa nchi Yao haijalishi wako wapi
Itakuwa wamempangia nyumba mahali wamembadilisha sura Sasa anaishi kama mkulima huko milimani
Si kama yule Yahya Sinwar wa Hamasi jamaa Sasa anavaa nikabu na ana Tako anajichanganya na raia anabana sauti ndio maana hapatikani
 
 

Attachments

  • 5808608-4c35bec582a77a5fbefbd815f67d0b09 (1).mp4
    3.7 MB
Na kuna kipindi shujaa wa afrika alitaka kufuta kiingereza ili kiswahili kitumike mpaka chuo kikuu.
Mimi nilipinga, sisi kama TANZANIA tunahitaji kujua lugha nyingi ila kuendana na uchumi wa dunia
 
Kuwa Mzalendo acha ujinga usome utoe kichwani sawa tu shida ipo wapi ndio ujinga mnafanya mnaleta madhara yasio na sababu... Mbona Netanyahu mwenye very high iq amesoma speech yake?
 
Na kuna kipindi shujaa wa afrika alitaka kufuta kiingereza ili kiswahili kitumike mpaka chuo kikuu.
Mimi nilipinga, sisi kama TANZANIA tunahitaji kujua lugha nyingi ila kuendana na uchumi wa dunia
Hili ni neno.

Tunapata shida sana kuwasiliana tukienda nchi za wenzetu.

Kila Mtanzania azingatie kufahamu japo Kiingereza na Kifaransa.
 
Lugha, labda wangeruhusu kiswahili.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…