Braza Kede
JF-Expert Member
- Nov 1, 2012
- 3,840
- 6,844
Mwisho inakua kama yule mchaga wa instaNina wasiwasi na mawazo yako... hua mnaanzaga hivihivi mara mtamani mngezaliwa wakike😏😏...
Anyways me ningelia 😌
Hivihivi taratibu taratibu linaanza wazo mwisho wa siku vinakuja vitendoMwisho inakua kama yule mchaga wa insta
Daah we inaelekea ungewatembezea fimbo mbaya adi ikatikie umoumo😂Mwisho inakua kama yule mchaga wa insta
[emoji23][emoji23] eti taratibu taratibuHivihivi taratibu taratibu linaanza wazo mwisho wa siku vinakuja vitendo
Mbona we hujaeleza ungeishi vipi!Mara paah unaamka mwenyewe unajikuta una jinsia tofauti na hiyo uliyonayo sasa.
Yani kama wewe ulikuwa KE umebadilika kuwa ME na wale ME umekuwa KE.
Ungeishi vipi?
Ungefanya nini?
Haya sasa yuhuuu! Twende kazi
Kwahiyo braza nawe umewaza ungeamka wa kike ungeikalia???Daah we inaelekea ungewatembezea fimbo mbaya adi ikatikie umoumo
ghafla mdai kawa mdaiwa😄😄Ningelia sa ningetoa wapi pesa ya kumpa mtu ambae hanidai😀😀😀
Sawa broNingewala mademu aisee nakuwatesa kimawazo ,ningekuwa mshirikina ili wasiniombe pesa ,ningechukua nyota zao kufanikisha mambo yangu. Yaani ningekuwa nina mke na watoto wawili tu ila,wao wapo mkoa mwingine ili nijinafasi . Natengenezewa dawa wanijali nakunipa pesa,wakiniloga wafe,wakitaka kuniomba pesa wasahau ila mimi ndio niwale popote nipendapo . Nadhani nimeeleweka
😆😆ngumu kumesaKwahiyo braza nawe umewaza ungeamka wa kike ungeikalia???