Mpetde
JF-Expert Member
- Sep 5, 2022
- 3,955
- 6,546
Hii imeenda 🤪sa ningetoa wapi pesa ya kumpa mtu ambae hanidai
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hii imeenda 🤪sa ningetoa wapi pesa ya kumpa mtu ambae hanidai
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] ameshaanza kutamani akilala tu aamke mwananke daah.Nina wasiwasi na mawazo yako... hua mnaanzaga hivihivi mara mtamani mngezaliwa wakike[emoji57][emoji57]...
Anyways me ningelia [emoji18]
wewe ungekua me ungevunjiwa sana simu😂If I were a boy
I think I could understand
How it feels to love a girl
I swear I'd be a better man
I'd listen to her
'Cause I know how it hurts
When you lose the one you wanted
'Cause he's taken you for granted
And everything you had got destroyed
DuhNingewala mademu aisee nakuwatesa kimawazo ,ningekuwa mshirikina ili wasiniombe pesa ,ningechukua nyota zao kufanikisha mambo yangu. Yaani ningekuwa nina mke na watoto wawili tu ila,wao wapo mkoa mwingine ili nijinafasi . Natengenezewa dawa wanijali nakunipa pesa,wakiniloga wafe,wakitaka kuniomba pesa wasahau ila mimi ndio niwale popote nipendapo . Nadhani nimeeleweka
😂😂😂 nimekumbukamo na storyyyywewe ungekua me ungevunjiwa sana simu😂
Achana na hayo mawazo, utapigwa miti kimasihara😆😆ngumu kumesa
Hahah acha kula biskuti za Kawe budaMara paah unaamka mwenyewe unajikuta una jinsia tofauti na hiyo uliyonayo sasa.
Yani kama wewe ulikuwa KE umebadilika kuwa ME na wale ME umekuwa KE.
Ungeishi vipi?
Ungefanya nini?
Haya sasa yuhuuu! Twende kazi
Wewe kwani mwanamke?Natamani niwe natomba kila siku.....GOD MAKE THAT HAPPEN FOR ME
jela😂😂😂😂 nimekumbukamo na storyyyy
Avunje alinunua yeye? Ningecharazaaa 😌
Bado hujajibu ombi langu.If I were a boy
Even just for a day
I'd roll outta bed in the morning
And throw on what I wanted and go
Drink beer with the guys
And chase after girls
I'd kick it with who I wanted
And I'd never get confronted for it
'Cause they'd stick up for me 🎶
mungu fundi maana kwa mawazo haya life expectancy ya "wanaume wapya" ingekuwa miaka 30 tu kwishnei.😂😂Ningewala mademu aisee nakuwatesa kimawazo ,ningekuwa mshirikina ili wasiniombe pesa ,ningechukua nyota zao kufanikisha mambo yangu. Yaani ningekuwa nina mke na watoto wawili tu ila,wao wapo mkoa mwingine ili nijinafasi . Natengenezewa dawa wanijali nakunipa pesa,wakiniloga wafe,wakitaka kuniomba pesa wasahau ila mimi ndio niwale popote nipendapo . Nadhani nimeeleweka
Ndio maana father God akakuweka upande huo ili uwe unakandwa tu maana mawazo yako ya ajabu sana 😆🤪Nadhani nimeeleweka
Wala ndio nilifanyiwa hivyo mbona wapo haimungu fundi maana kwa mawazo haya life expectancy ya "wanaume wapya" ingekuwa miaka 30.😂😂
Yani🤣🤣🤣🤣🙌[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] ameshaanza kutamani akilala tu aamke mwananke daah.
Hahah😆😆😆[emoji23][emoji23] eti taratibu taratibu
Hata mimi nilitaka nimuulize mkuu ila sema nini hizi ID zinaponza sana watu hadi wanasahau jinsiaWewe kwani mwanamke?
Wala wao ndio wanafanya hivyo kwanini mimi nisifanyeNdio maana father God akakuweka upande huo ili uwe unakandwa tu maana mawazo yako ya ajabu sana 😆🤪
Nahakikisha simuachii ushahidi 😃jela😂
uanaume sio poa