Braza Kede
JF-Expert Member
- Nov 1, 2012
- 3,840
- 6,844
- Thread starter
- #41
kwa hapa jeiefu mtu anaweza kuwa jinsia yoyote tu inategemea na upepo unavovuma😂Wewe kwani mwanamke?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
kwa hapa jeiefu mtu anaweza kuwa jinsia yoyote tu inategemea na upepo unavovuma😂Wewe kwani mwanamke?
tangu nizaliwe sijawahi kuwa na mawazo ya aina hiyo kamwe, ukishaona unawaza kuwa jinsia nyingine jua kuna mdudu ameshakuingia. Mungu akusaidie.Mara paah unaamka mwenyewe unajikuta una jinsia tofauti na hiyo uliyonayo sasa.
Yani kama wewe ulikuwa KE umebadilika kuwa ME na wale ME umekuwa KE.
Ungeishi vipi?
Ungefanya nini?
Haya sasa yuhuuu! Twende kazi
Amri kuu tuliyopewa ni kupendana, nimepokea upendo 🙏❤️.Bado hujajibu ombi langu.
Nakupenda ujue.
Yaani.
usiogope kuwaza nje ya dunia halisi unayoishiNina wasiwasi na mawazo yako... hua mnaanzaga hivihivi mara mtamani mngezaliwa wakike😏😏...
Anyways me ningelia 😌
Kumbe hii slope mnaifahamupo ila mna kaza kichwa😁😁😁😁Ningelia sa ningetoa wapi pesa ya kumpa mtu ambae hanidai😀😀😀
kua na amani kijanausiogope kuwaza nje ya dunia halisi unayoishi
vitu vingi unavyofurahia leo hii vilikuwa ndoto za watu
Hii kitaalamu kwenye football inaitwa chenga ya mwiliAmri kuu tuliyopewa ni kupendana, nimepokea upendo 🙏❤️.
Natumai uko poa!
😂😂Hamna kiongoziBraza Kede angalia usije ukawa Sista Kede,,shauri Yako Braza!!
😌 muone..Hii kitaalamu kwenye football inaitwa chenga ya mwili
Chenga isiyo na madhara 😂
Lugha ya kitaalamu kwa wale wayuropian 😁
Inaitwa BODY FEINT😁😁😁
umeona eeh😆Kumbe hii slope mnaifahamupo ila mna kaza kichwa😁😁😁😁
Umemkataa kiaina😌 muone..
😀😀😀😀Kumbe hii slope mnaifahamupo ila mna kaza kichwa😁😁😁😁
Imagine unaanza kujieleza kwa pesa usiodaiwaghafla mdai kawa mdaiwa😄😄
but ur not a boyIf I were a boy
I think I could understand
How it feels to love a girl
I swear I'd be a better man
I'd listen to her
'Cause I know how it hurts
When you lose the one you wanted
'Cause he's taken you for granted
And everything you had got destroyed
Hahabut ur not a boy
I think u dont hav a clue 🎶🎶🎶🎶