hahaha always done
JF-Expert Member
- Jun 11, 2013
- 1,126
- 1,973
Unalala tenaMara paah unaamka mwenyewe unajikuta una jinsia tofauti na hiyo uliyonayo sasa.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Unalala tenaMara paah unaamka mwenyewe unajikuta una jinsia tofauti na hiyo uliyonayo sasa.
😂😂Ningelia sa ningetoa wapi pesa ya kumpa mtu ambae hanidai😀😀😀
Na sometimes anakulazimisha umlipie bills😀 kama ni hela zake vile kakupa umshikie😀Ningelia sa ningetoa wapi pesa ya kumpa mtu ambae hanidai😀😀😀
Nimecheka sana wallah, [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Nina wasiwasi na mawazo yako... hua mnaanzaga hivihivi mara mtamani mngezaliwa wakike[emoji57][emoji57]...
Anyways me ningelia [emoji18]
dah mwanangu kwanza ungekua umeshaolewa tandahimba huko ndani ndani, halafu ungekua ushazalishwa watrotro 7 moja angekua ananyonya saiv , afu dingii alokuoa anakupelekea motroo kichizi everyday akupige mtotro wa 8, dah acha tu nawaza ungezaliwa k ungekua umechoka sana saivi ndio kwanza una miaka 31Mara paah unaamka mwenyewe unajikuta una jinsia tofauti na hiyo uliyonayo sasa.
Yani kama wewe ulikuwa KE umebadilika kuwa ME na wale ME umekuwa KE.
Ungeishi vipi?
Ungefanya nini?
Haya sasa yuhuuu! Twende kazi
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] jamani woiiih.Ningelia sa ningetoa wapi pesa ya kumpa mtu ambae hanidai[emoji3][emoji3][emoji3]
Imagine[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] jamani woiiih.
Hapa nimetoka kuomba hela ya kucha 😀😀Na sometimes anakulazimisha umlipie bills😀 kama ni hela zake vile kakupa umshikie😀
Nimekumbuka mbaaaaalii sana 😩😩😩If I were a boy
I think I could understand
How it feels to love a girl
I swear I'd be a better man
I'd listen to her
'Cause I know how it hurts
When you lose the one you wanted
'Cause he's taken you for granted
And everything you had got destroyed
😂😂😂😆Nimecheka sana wallah, [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Ww mbona unaonekana unapenda inshu za dawa sana?Ningewala mademu aisee nakuwatesa kimawazo ,ningekuwa mshirikina ili wasiniombe pesa ,ningechukua nyota zao kufanikisha mambo yangu. Yaani ningekuwa nina mke na watoto wawili tu ila,wao wapo mkoa mwingine ili nijinafasi . Natengenezewa dawa wanijali nakunipa pesa,wakiniloga wafe,wakitaka kuniomba pesa wasahau ila mimi ndio niwale popote nipendapo . Nadhani nimeeleweka
Kabisa huyu ana Mizaha yenye PhDAcha kukufuru uumbaji.....kuna vitu sio vya kuletea utani wala masihara fanya mambo yako pita hivi
Nina abdallah kichwa waziWewe kwani mwanamke?
😂😂😂😂😂🙌Ningelia sa ningetoa wapi pesa ya kumpa mtu ambae hanidai😀😀😀
Ningelia sa ningetoa wapi pesa ya kumpa mtu ambae hanidai[emoji3][emoji3][emoji3]