Braza Kede
JF-Expert Member
- Nov 1, 2012
- 3,840
- 6,844
- Thread starter
-
- #41
kwa hapa jeiefu mtu anaweza kuwa jinsia yoyote tu inategemea na upepo unavovuma๐Wewe kwani mwanamke?
tangu nizaliwe sijawahi kuwa na mawazo ya aina hiyo kamwe, ukishaona unawaza kuwa jinsia nyingine jua kuna mdudu ameshakuingia. Mungu akusaidie.Mara paah unaamka mwenyewe unajikuta una jinsia tofauti na hiyo uliyonayo sasa.
Yani kama wewe ulikuwa KE umebadilika kuwa ME na wale ME umekuwa KE.
Ungeishi vipi?
Ungefanya nini?
Haya sasa yuhuuu! Twende kazi
Amri kuu tuliyopewa ni kupendana, nimepokea upendo ๐โค๏ธ.Bado hujajibu ombi langu.
Nakupenda ujue.
Yaani.
usiogope kuwaza nje ya dunia halisi unayoishiNina wasiwasi na mawazo yako... hua mnaanzaga hivihivi mara mtamani mngezaliwa wakike๐๐...
Anyways me ningelia ๐
Kumbe hii slope mnaifahamupo ila mna kaza kichwa๐๐๐๐Ningelia sa ningetoa wapi pesa ya kumpa mtu ambae hanidai๐๐๐
kua na amani kijanausiogope kuwaza nje ya dunia halisi unayoishi
vitu vingi unavyofurahia leo hii vilikuwa ndoto za watu
Hii kitaalamu kwenye football inaitwa chenga ya mwiliAmri kuu tuliyopewa ni kupendana, nimepokea upendo ๐โค๏ธ.
Natumai uko poa!
๐๐Hamna kiongoziBraza Kede angalia usije ukawa Sista Kede,,shauri Yako Braza!!
๐ muone..Hii kitaalamu kwenye football inaitwa chenga ya mwili
Chenga isiyo na madhara ๐
Lugha ya kitaalamu kwa wale wayuropian ๐
Inaitwa BODY FEINT๐๐๐
umeona eeh๐Kumbe hii slope mnaifahamupo ila mna kaza kichwa๐๐๐๐
Umemkataa kiaina๐ muone..
๐๐๐๐Kumbe hii slope mnaifahamupo ila mna kaza kichwa๐๐๐๐
Imagine unaanza kujieleza kwa pesa usiodaiwaghafla mdai kawa mdaiwa๐๐
but ur not a boyIf I were a boy
I think I could understand
How it feels to love a girl
I swear I'd be a better man
I'd listen to her
'Cause I know how it hurts
When you lose the one you wanted
'Cause he's taken you for granted
And everything you had got destroyed
Hahabut ur not a boy
I think u dont hav a clue ๐ถ๐ถ๐ถ๐ถ