Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
BigUp! & love mingimingi kwako😘😘😘Siwez kukonda ila nimefurahi kujua unavyonichukulia...nitakuwa makini tu nawe👊
Namkubali. Katoka kuchepuka 3 days hafu karudi na excuse ya kindezi kwa wife wake na wife kamuelewa.Yona
🙏BigUp! & love mingimingi kwako😘😘😘
Sauli huyoNaikubali sana nafasi ya paulo
Huyu alikua mkaidi sana kila maagizo aliyopewa hakufuata...Yona
Akakutana na mabaharia kauzu wakamzamisha kwenye maji😂😂😂Yona mzee aliambiwa aende ninawi ageuza gia angani kuelekea tarashishi
USSR
Mimi ningekuwa mfalme Daudi nisingependa adui yangu aniletee upuuzi wake , nisinge kuwa yesu eti unipige nikuangalie tu .
Wasaliti kama kina Yuda wangeipa freshi?
Wewe unadhani ulifaa kuwa nani?
USSR
Hebu futa comment hii au chagua mwingine, Maana hii ni tusi kwa serikali ya Mbinguni.Messiah!
Hawa mabaharia toleo jipya hawa ishu...Wale wa kitambo bhana😂😂😂😂 acha kabisa yona hakuamini kama watamtupa...Hahahaha nimecheka sana unajua neno baharia kuwa kubwa hapa Tanzania
USSR
Mi sitamani kuwa yeyote.Mimi ningekuwa mfalme Daudi nisingependa adui yangu aniletee upuuzi wake , nisinge kuwa yesu eti unipige nikuangalie tu .
Wasaliti kama kina Yuda wangeipa freshi?
Wewe unadhani ulifaa kuwa nani?
USSR
Wewe ni Sauli tu🤣Mimi ningekuwa mfalme Daudi nisingependa adui yangu aniletee upuuzi wake , nisinge kuwa yesu eti unipige nikuangalie tu .
Wasaliti kama kina Yuda wangeipa freshi?
Wewe unadhani ulifaa kuwa nani?
USSR