Ungekuwa kwenye biblia, ungekuwa nani?

Ungekuwa kwenye biblia, ungekuwa nani?

Hawa mabaharia toleo jipya hawa ishu...Wale wa kitambo bhana[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] acha kabisa yona hakuamini kama watamtupa...
Wanadai we alikuwa wanakula sana bangi, kutafuna vitunguu saumu na maji walikuwa wehu harafu wakitegemea uchawi sana

USSR
 
Mimi ningekuwa mfalme Daudi nisingependa adui yangu aniletee upuuzi wake , nisinge kuwa yesu eti unipige nikuangalie tu .

Wasaliti kama kina Yuda wangeipa freshi?

Wewe unadhani ulifaa kuwa nani?

USSR
Kwahiyo unaona raha kula wake za wafanyakazi wako au sio?
 
Soldier aliyebaki wakati Kristo akikata roho na kukiri kwa kinywa chake kweli huyu alikuwa mwana wa Mungu. Si mchezo Giza liikumbe nchi saa 9 mchana watu watawanyike wewe ubaki.
Pure commando.
 
Mimi ningekuwa mfalme Daudi nisingependa adui yangu aniletee upuuzi wake , nisinge kuwa yesu eti unipige nikuangalie tu .

Wasaliti kama kina Yuda wangeipa freshi?

Wewe unadhani ulifaa kuwa nani?

USSR
yusuph potifa ninge mshooo
 
Mimi ningekuwa mfalme Daudi nisingependa adui yangu aniletee upuuzi wake , nisinge kuwa yesu eti unipige nikuangalie tu .

Wasaliti kama kina Yuda wangeipa freshi?

Wewe unadhani ulifaa kuwa nani?

USSR
MUSSA
 
Back
Top Bottom