mshamba_hachekwi
JF-Expert Member
- Mar 3, 2023
- 20,704
- 66,337
kaisari, mwenye pesa....Na wewe wataka kua nani
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
kaisari, mwenye pesa....Na wewe wataka kua nani
damu ya dyudyu 😂
😬😬nimeongea sana eti....😃😃😃 wewe mtoto
Sio kweli.Fala yule hafai kwa mifano ya Kiutu
USSR
Kwa sababu Delila alikuwa ni msaliti mkuumbona umeruka haraka sana
Yusufu aliyemkimbia mke wa bosi wake akiwa nakedWewe unadhani ulifaa kuwa nani?
Uzuri wa Daudi alijaa moyo wa toba sana lkn alikosea mara nyingi sana.Uko sahihi ila Mungu alimpenda Dauda kwa uwanja wa vita
USSR
sawa najua lakin mandish yako yana mashaka mengi😅Kwa sababu Delila alikuwa ni msaliti mkuu
Mi nipo kufurahi humu Mkuu....sina jipyasawa najua lakin mandish yako yana mashaka mengi😅
Jamaa aliuwa sana na jeuri juu ,ukosoma ishi za Sauli na Daudi unafahamu kwamba Mungu sio rahisi kusamehe kama tunavyodanganywa na manabii wa sasa maana Daudi kusamehewa ilikuwa hatari sana alilia na kulia wapi mpaka mwishoniUzuri wa Daudi alijaa moyo wa toba sana lkn alikosea mara nyingi sana.
Kosa la Sauli ni kuchukua mateka wa mifugo iliuonona badala ya kuua kila kitu
Na ndio maana bibie aliamua kujilipua lakini kijana akatoka ndukii na kumwachia boxer 😂Dadeki wanadai Yusuph alikuwa handsome haijapata kutokea
USSR