BigUp! & love mingimingi kwako๐๐๐Siwez kukonda ila nimefurahi kujua unavyonichukulia...nitakuwa makini tu nawe๐
Namkubali. Katoka kuchepuka 3 days hafu karudi na excuse ya kindezi kwa wife wake na wife kamuelewa.Yona
๐BigUp! & love mingimingi kwako๐๐๐
Sauli huyoNaikubali sana nafasi ya paulo
Huyu alikua mkaidi sana kila maagizo aliyopewa hakufuata...Yona
Akakutana na mabaharia kauzu wakamzamisha kwenye maji๐๐๐Yona mzee aliambiwa aende ninawi ageuza gia angani kuelekea tarashishi
USSR
Mimi ningekuwa mfalme Daudi nisingependa adui yangu aniletee upuuzi wake , nisinge kuwa yesu eti unipige nikuangalie tu .
Wasaliti kama kina Yuda wangeipa freshi?
Wewe unadhani ulifaa kuwa nani?
USSR
Hebu futa comment hii au chagua mwingine, Maana hii ni tusi kwa serikali ya Mbinguni.Messiah!
Hawa mabaharia toleo jipya hawa ishu...Wale wa kitambo bhana๐๐๐๐ acha kabisa yona hakuamini kama watamtupa...Hahahaha nimecheka sana unajua neno baharia kuwa kubwa hapa Tanzania
USSR
Mi sitamani kuwa yeyote.Mimi ningekuwa mfalme Daudi nisingependa adui yangu aniletee upuuzi wake , nisinge kuwa yesu eti unipige nikuangalie tu .
Wasaliti kama kina Yuda wangeipa freshi?
Wewe unadhani ulifaa kuwa nani?
USSR
Wewe ni Sauli tu๐คฃMimi ningekuwa mfalme Daudi nisingependa adui yangu aniletee upuuzi wake , nisinge kuwa yesu eti unipige nikuangalie tu .
Wasaliti kama kina Yuda wangeipa freshi?
Wewe unadhani ulifaa kuwa nani?
USSR