Wanadai we alikuwa wanakula sana bangi, kutafuna vitunguu saumu na maji walikuwa wehu harafu wakitegemea uchawi sanaHawa mabaharia toleo jipya hawa ishu...Wale wa kitambo bhana[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] acha kabisa yona hakuamini kama watamtupa...
Walikua na roho ngumu mnoo! Ngozi zimenyauka hatariWanadai we alikuwa wanakula sana bangi, kutafuna vitunguu saumu na maji walikuwa wehu harafu wakitegemea uchawi sana
USSR
NAongelea Sauli mfalme sio Sauli PauloSauli ndio alikuja kuwa paulo alikuwa hagongi madem mimi nagonga kila saa
USSR
Huyu Musa au nabii Suleimani ndo anapatikana Kwenye biblia ipi agano la kale au jpyaMusa au Nabii suleimaniπ
Kwahiyo unaona raha kula wake za wafanyakazi wako au sio?Mimi ningekuwa mfalme Daudi nisingependa adui yangu aniletee upuuzi wake , nisinge kuwa yesu eti unipige nikuangalie tu .
Wasaliti kama kina Yuda wangeipa freshi?
Wewe unadhani ulifaa kuwa nani?
USSR
hutaki kua virgin mary πJudith na Hanna
yusuph potifa ninge mshoooMimi ningekuwa mfalme Daudi nisingependa adui yangu aniletee upuuzi wake , nisinge kuwa yesu eti unipige nikuangalie tu .
Wasaliti kama kina Yuda wangeipa freshi?
Wewe unadhani ulifaa kuwa nani?
USSR
Na wewe wataka kua nanihutaki kua virgin mary π
mbona umeruka haraka sanaSijawahi msaliti MTU....ila majibu yangu nafanana kabisa na masihi.WEWE WASEMA
Naogopa mie nisije kufuru πhutaki kua virgin mary π
MUSSAMimi ningekuwa mfalme Daudi nisingependa adui yangu aniletee upuuzi wake , nisinge kuwa yesu eti unipige nikuangalie tu .
Wasaliti kama kina Yuda wangeipa freshi?
Wewe unadhani ulifaa kuwa nani?
USSR
damu ya dyudyu πNaogopa mie nisije kufuru π