Kelvin35
JF-Expert Member
- Feb 26, 2023
- 698
- 1,112
kampeni zimeanzia hapaBoss unajua kusoma vizuri?
Sio mimi mhusika. Me Sina mume wala boyfriend wala man friend
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
kampeni zimeanzia hapaBoss unajua kusoma vizuri?
Sio mimi mhusika. Me Sina mume wala boyfriend wala man friend
Sawa kama si wewe ila zingatia huo ushauri... Usikubali kutinduliwa nyuma, tutakushusha thamani vibaya sanaSio mimi na wewe acha kukaza kichwa. Ndo great thinker gani wewe
Kama umeolewa na upo ndani ya nyumba na mme wako hajakuletea shida yyte au hajawahi kukuomba kinyume na maumbile basi wewe piga kinya na usiwafuatile ingawa unaweza kumwambia ajirekebishe unajua mienendo yake sio mizuri..Hello dears
Poleni na majukumu.
Kuna mmama fulani alikuwa anafuatilia nyendo za mumewe (waliyezaa nae watoto kadhaa bila ndoa) basi akagundua mzazi mwenza anapewa kisamvu cha kopo na anakifurahia Sana.
Mmama amecharuka anawaza kudili na mwizi wake maana ameshamjua.
Swali kwako mwenye ndoa au mahusiano imara. Kama ni wewe umegundua mumeo anafanya mambo kama hayo utafanyaje? Utamsaidiaje aache? Au na wewe utampatia??
Umesoma umeelewa kweli? Address 3rd person singular na sio 2nd person singular. Hope umeelewaKama umeolewa na upo ndani ya nyumba na mme wako hajakuletea shida yyte au hajawahi kukuomba kinyume na maumbile basi wewe piga kinya na usiwafuatile ingawa unaweza kumwambia ajirekebishe unajua mienendo yake sio mizuri..
Wanaume tunapenda sana kuharibu sehemu ambazo tunajua hatudumu basi tutafanya fujo ya kila aina mitaro itafukuriwa na kila uchafu ila mke huwa anaheshimiwa sana..hasa anayepedwa ukiona mumeo kabisa tena wa ndoa anaomba mtaro jua huyo akupendi na siku yyte unaachwa.
UMejuajeDuuuuh hii dunia mbona hatari saana , unawezaje ingia mrango wa kutokea tena unatoka uchafu 🤮🤮🤮🤮 alafu mtu anaramba duuuuh
Mamdogooo..!! Afu unaisema hiyo miguu mitatu na akati huo mmoja unauotea ndoto kila uchwao..!! Nyie wenye matundu saba mna visa sana mamdogo..!!!😂😂😂😂chochote unachotaka kufanya kwenye mahusiano fanya kwasababu umependa mwenyewe au unajifurahisha
usifanye kwa ajili ya mwanaume 😂hawa wenye miguu mitatu utafanya na bado atatumia ulichofanya kama sababu ya kukuacha
Tatizo watu wanataka kufurahisha watu au mtu. Ukijipenda kwanza hutakaa uteseke kwa ajili ya matatizo ya watu ya kujitakia.Hata ukimpatia ataenda kwa mwingine kutafuta kitu kingine. Utateseka sana kwenye hii dunia ukiwafatiliza viumbe wasioridhika
Relax mumama as long as uzi upo wazi nitajibu tuuuuu labda nisione.We nawe unajitia mjuaji Sana. Nimesema ni mimi?
Tuliza komwe.
Sio kila uZi lazima utoe maoni. Zingine zikupitemo
Yule mama ni mkali SanaMwanaume hatulizwi Kwa kumpa Kisamvu Wala nini...
Vijana wanahisi Kisamvu ndiyo big ishu sana, utasikia Mwanaume gani huridhiki wakati nakupa Kila kitu hadi Kisamvu....
Hivyo visamvu vimeliwa tangu enzi za Ruthu wa Sodoma
Tujiulize Suleiman Kuoa Wanawake 700 na Vimada 300 alikuwa anakosa nini Kwa Mke wa kwanza hadi kuongeza kufikisha hiyo idadi ya Wanawake?
Kama Mwanamke huna heshima Kwa Mumeo jua lazima atakukimbia
Kama Mwanamke hufanyi Usafi wa Ikulu yako unaiacha inanukia isivyo sawa ujue Mwanaume atakimbia tu
Mwanamke hujitumi Kwa bed, jua Mume atatoka tu nje
Kama Mwanamke kichwa imelala muda wote, hutoi mawazo ya kujenga unawaza mawigi/Bata tu/vipochi...Mume atakimbia tu
Unaenda wapi kwani tuendelee kuwepo kwenye uzi hapa.....mie nipoImeeenda hyoo Hadi penyewe
Naona yanakutoka tuu.
Haya me mesej nlishakupatia. Kwa sasa bye.