Evelyn Salt
JF-Expert Member
- Jan 5, 2012
- 70,916
- 141,437
πΉπΉπΉ dada uko wapiiiii kwani si umeuliza "ungekuwa wewe ungefanyaje" sasa umenuna nini jamani na umejibiwa vizuri tu hata hamna cha kukera hapo.Nakuaga ww hapo kwakuwa nina allerg na much knows.
Kwa wengine nitakuwepo Sana kusongesha uzi.
Ndo maana nimesema kama,wala sijasema ni wewe.Wewe nae huelewi NINI sasa.
Nimesema sio mimi.
Why unalazimisha jambo ambalo usawekwa waz jaman?
Ni bora kufanya jambo ambalo mwenyewe unataka na unalifurahia. Na sio kufanya jambo shingo upande kumfurahisha mwingineTatizo watu wanataka kufurahisha watu au mtu. Ukijipenda kwanza hutakaa uteseke kwa ajili ya matatizo ya watu ya kujitakia.
Uzii ufungweee, [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]chochote unachotaka kufanya kwenye mahusiano fanya kwasababu umependa mwenyewe au unajifurahisha
usifanye kwa ajili ya mwanaume [emoji23]hawa wenye miguu mitatu utafanya na bado atatumia ulichofanya kama sababu ya kukuacha
Una hojaa, usikilizweee.Unafikiri kwanini hajakuomba wewe akaenda kwa jirani? Ni kwsbb anataka kukutunzia heshima na akuone wa thamani, sasa ukimpatia, hiyo thamani ataishusha na kukuona malaya kama malaya wengine wachafu.
pole kwa yaliyokukuta hakika umepita mengi sana mpk na wanaume wenye miguu mitatu..!ππππchochote unachotaka kufanya kwenye mahusiano fanya kwasababu umependa mwenyewe au unajifurahisha
usifanye kwa ajili ya mwanaume πhawa wenye miguu mitatu utafanya na bado atatumia ulichofanya kama sababu ya kukuacha
Tuanze kwanza na wewe, utafanyaje katika iyo situation?Hello dears
Poleni na majukumu.
Kuna mmama fulani alikuwa anafuatilia nyendo za mumewe (waliyezaa nae watoto kadhaa bila ndoa) basi akagundua mzazi mwenza anapewa kisamvu cha kopo na anakifurahia Sana.
Mmama amecharuka anawaza kudili na mwizi wake maana ameshamjua.
Swali kwako mwenye ndoa au mahusiano imara. Kama ni wewe umegundua mumeo anafanya mambo kama hayo utafanyaje? Utamsaidiaje aache? Au na wewe utampatia??
+Kiporo cha Ubwabwa+Chai ya rangi,,Ukimaliza hafu taimu ya dk 30,,,Unashushia na lita moha ya Maji Bariidii haswaa kwenye maeneo yetu yenye joto Kali kipindi hikiKisamvu kikilala ni kitamu balaa
Mwambie kuwa unaelewa anachokifanya na info zote unazo kisha kwa upooole mwambie, akikichoka arudi kula nyumbani kabla chakula hakijachacha.Hello dears
Poleni na majukumu.
Kuna mmama fulani alikuwa anafuatilia nyendo za mumewe (waliyezaa nae watoto kadhaa bila ndoa) basi akagundua mzazi mwenza anapewa kisamvu cha kopo na anakifurahia Sana.
Mmama amecharuka anawaza kudili na mwizi wake maana ameshamjua.
Swali kwako mwenye ndoa au mahusiano imara. Kama ni wewe umegundua mumeo anafanya mambo kama hayo utafanyaje? Utamsaidiaje aache? Au na wewe utampatia??
heeeeepole kwa yaliyokukuta hakika umepita mengi sana mpk na wanaume wenye miguu mitatu..!
jipige kifuani mara tatu huku ukiuambia moyo wako "yote kheri".π
πππ
miguu mitatu imewaumaMamdogooo..!! Afu unaisema hiyo miguu mitatu na akati huo mmoja unauotea ndoto kila uchwao..!! Nyie wenye matundu saba mna visa sana mamdogo..!!!
Curiosity ndo shida, by nature wanaume huwa tunashauku sana ya kutaka kujaribu mambo.Binadamu akili zinatuzidia sijui, pale kwenye OUTLET, watu wanafanya INLET
π
NI Mwendo wa miguu yote tu, kama CR7
Basi atakuwa ana sifa nyingine zaidi ambayo imefanya Mwamba atie nanga kwake π€Yule mama ni mkali Sana
Yaaaaani over mbogo. Af naskia kutoa tunda Hadi atake yeye sasa labda made baba alichoka
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Binadamu akili zinatuzidia sijui, pale kwenye OUTLET, watu wanafanya INLET
[emoji23]
NI Mwendo wa miguu yote tu, kama CR7