Ungekuwa ni wewe ungefanyaje?

Mwambie kuwa unaelewa anachokifanya na info zote unazo kisha kwa upooole mwambie, akikichoka arudi kula nyumbani kabla chakula hakijachacha.

Mweleze huyo mamaa.
Maza anaataka kulipizaa
 
Hicho kisamvu kinachepikiwa kwenye makopo wanaki export au vinauzwa supermarkets za hapahapa Bongo,sijaelewa ujue!
 
Mada za wazinzi hizi
 
Hilo swali lijibiwe na wanawake
 
Hahaha
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…