yellow eyes
JF-Expert Member
- Mar 6, 2018
- 2,897
- 3,336
Mwambie arudi akaombe msamaha kwa mume wake aseme uchafu wake wote hadharani kama alivokusimulia wewe, huenda akasemehewa.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
"ukionja au kunywa sumu mwenyewe usitegemee afe mtu mwingine".Habari Kaka, mimi ni Mama wa watoto wawili, nimeolewa ndoa yangu ina miaka 7 sasa, mwkaa jana nilikorofishana na mume wangu, nilimfumania na dada wa kazi. KutoKana na kunidhalilisha nilichukua jukumu la kuondoka ili kumuacha, lakini alikuja kuomba msamaha nikamsamehe, lakini nilishindwa kusahau, nikiwa katika upweke huo nilijikuta naanzisha mahusiano na X wangu.
We ni mpuuzi tu 😅 sasa umeacha ndoa yako umekimbilia kwa X ambaye pia ameoa tayari ana mkewe? Hivi wanawake ujinga huu mtaachaga lini aiseeHabari Kaka, mimi ni Mama wa watoto wawili, nimeolewa ndoa yangu ina miaka 7 sasa, mwkaa jana nilikorofishana na mume wangu, nilimfumania na dada wa kazi. KutoKana na kunidhalilisha nilichukua jukumu la kuondoka ili kumuacha, lakini alikuja kuomba msamaha nikamsamehe, lakini nilishindwa kusahau, nikiwa katika upweke huo nilijikuta naanzisha mahusiano na X wangu.
Yani kavunja nyumba yake mwenyewe kwa kiburi kisha anataka avunje na ya X wake piaTatizo la huyo dada ni pale aliposema mke wa X wake anasumbua ila yeye anakaza kwakua ndoa yake imekufa,kwaio alitaka na ya mwenzie ife,yani anafungua duka na mume wa mtu confortable kabisa,laana inakutafuna dada,omba Mungu akusamehe kwa kutaka kuvunja ndoa ya mwenzio.
Nasindikia na wimbo mmoja hivi wa zamani..tucheke kidogo jmn...hahaa yaani mtu kamkimbia mume kwa kuchepuka alafu kaenda kuwa mchepuko wa mme wa mtu.....wanawake akili zenu zipo matakoni
[emoji3][emoji3][emoji3]Hadi niamue [emoji16]
Yani nakuhonga hadi eneo la makaburi ya familia
Muite aje mwenyewe!Ingekuwa wewe ungemshauri nini mtu kama huyu?
Mumeo amesha oa yuko na mke, x ,wako ane yuko na mke, wewe ndio upo katikati kwa nini usitafute mwanaume mwingine ili mfanane??!!Habari Kaka, mimi ni Mama wa watoto wawili, nimeolewa ndoa yangu ina miaka 7 sasa, mwkaa jana nilikorofishana na mume wangu, nilimfumania na dada wa kazi. KutoKana na kunidhalilisha nilichukua jukumu la kuondoka ili kumuacha, lakini alikuja kuomba msamaha nikamsamehe, lakini nilishindwa kusahau, nikiwa katika upweke huo nilijikuta naanzisha mahusiano na X wangu.
Mahusiano yaliendelea mpaka mwaka huu mwanzoni, mume wangu aligundua, nikamuambia kuwa nimemua kulipa kisasi kwakua nayeye alichepuka. Hicho kitu kilimuumiza sana mume wangu, akanifukuza na kusema kuwa hanitaki. Baada ya kuondoka kwa mume wangu nilibaki mwenyewe, nilienda kupangisha, X wangu hakuniacha, aliniambia kuwa nitafute pesa tufungue Biashara.
Nilikubali, nikatafuta pesa kwa kuchukua mkopo kazini tukafungua duka kubwa la spea, kwakua nilikua nakusoma nilisema kama tunafungua duka basi liwe duka la jina langu. Alikubali nikajua kuwa ananipenda, tulifungua duka, mimi nilichukua mkopo kazini, nikaweka milioni 15 na yeye akaweka milioni 15. Baada ya hapo kila kitu kilibaki jina langu, nikawa nasimamia mimi kila kitu.
Mke wake alijua na kuanza kunisumbua, mimi sikujali kwani kama ni ndoa ya kwangu ilishakufa. Tatizo Kaka lipo kwa huyu mwanaume, duka ni langu lakini sijui pesa zinaenda wapi? Yaani kitu kidogo anachukua pesa dukani, anasema kuwa atarudiasha lakini harudishi. Mwanzo nilimvumilia, lakini sasa hivi nimechoka, anajenga yeye na mke wake, wanakuja kuchukua vitu dukani kwetu ila kulipa inakua ngumu. Yaani duka la milioni 30 sasa hivi vitu vilivyobaki hata milioni 10 havifiki na zote kala yeye.
Nikikasirika ananiambia kuwa ataniacha, kaka nampenda, mume wangu ameshaniacha anaishi na mwanamke mwingine, nina watoto wawili naishi nao, mume wangu hahudumii watoto kwa chochote, nimehangaika ustawi wa jamii mpaka nimechoka, huyu mwanaume naye hahundumii watoto wangu, nina mimba yake ananiambia nikizaa wakwake ndiyo atahudumia, nimechaganyikiwa sana Kaka, naomba msaada wako, sitaki kumpoteza mimi nitakua mtu wa kuachwa mpaka lini?
Ingekuwa wewe ungemshauri nini mtu kama huyu?
Mbona sipati wa kuni hongaMwanamke akiamua kuhonga huwa anahonga "kwerikweri".....