Staufenberg
Member
- Sep 26, 2020
- 24
- 37
Kosa kubwa alilofanya ni kulipa kisasi kwa kutembea na x wake na hayo ndio malipo yake.. kaachwa na mumewe, kumbe x nae ni mume wa mtu.. Akili za wanawake hizo.... Sina cha kumshauri.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Pambana umpate....Mbona sipati wa kuni honga
Sasa mtu kakimbia ndoa yake furaha aitoe wapi?Wanawake bhana Mungu awasaidie tu!
wengi wanaokimbia ndoa zao huishia kutendwa au huwa wanaishi maisha ya huzuni Sana huku wakijifariji ni super woman!
Nakili siwezi kuomba ushauri kwenye swala dogo kama hili.Habari Kaka, mimi ni Mama wa watoto wawili, nimeolewa ndoa yangu ina miaka 7 sasa, mwkaa jana nilikorofishana na mume wangu, nilimfumania na dada wa kazi. KutoKana na kunidhalilisha nilichukua jukumu la kuondoka ili kumuacha, lakini alikuja kuomba msamaha nikamsamehe, lakini nilishindwa kusahau, nikiwa katika upweke huo nilijikuta naanzisha mahusiano na X wangu.
Mahusiano yaliendelea mpaka mwaka huu mwanzoni, mume wangu aligundua, nikamuambia kuwa nimemua kulipa kisasi kwakua nayeye alichepuka.
Kuna watu mnajua kuchangia."ukionja au kunywa sumu mwenyewe usitegemee afe mtu mwingine".
"Haraka haraka haina baraka"
Mwisho wa kunukuu...
Huyu alitaka kumkomoa jamaa bila kujua kuwa anajikomoa mwenyewe. Kila kitu kina faida na hasara. So, alipoamua kulipiza kisasi tena waziwazi alijua faida na hasara atakazozipata. So, Hana budi kuvumilia anayapitia hadi mwisho.
Mwisho: "Huwezi kupata jema kwa malipo ya kumfanyia mtu mwingine ubaya"...
Hiyo baharia sijaona tatizo kwake kapewa nafasi na kaitumka inavyotakiwa angezembea na yeye angemuacha mke na watotoDawa yake nawe iyo 10m fungua biashara nyingine bila kumuhusisha iyo mliyofungua naye ifirisi halafu mbaki mnapeana utamu usimshirikishe kwenye biashara yako Lea familia yako inaonekana anakutumia tu
Kapigwa dudu mpaka anajisahau kuwa huyo ni mme wa mtu lazima atarudi tu kwa mkeweNakili siwezi kuomba ushauri kwenye swala dogo kama hili.
Mwambie nimesema aache upumbavu, eti hataki kumpoteza? Mbona alimpoteza mme wake?kweli wanawake wajinga dunia hawaishi.
Mwambie afungue secret account,kuanzia sasa pesa aweke kule, huyo mwanaume akimuuliza amwambie wewe na mke wako mnachukua pesa bila kurudisha mnategemea nini?
Mwisho wa mwisho duka liishe kimya kimya.
Ila ningekuwa mimi hivyo vitu ningeviuza mara moja hiyo pesa nikatunza kwa ajili ya kulea watoto. Nisingemwambia chochote huyo mwanaume akitaka aondoke.
Afu mwambie atoe upumbavu wa kushare biashara na mme wa mtu. Aache hiyo biashara haraka sana. Asirudie kukopea mshahara maana soon hata huyo mwanaume atamuacha.
Ila wanawake wanaendeshwa na ngono sana mbona huo upumbavu mm siwezi fanya? Jitu halimuhudumii linaleta kwake mbupu tu eti hataki kuliacha nfyuuuxxxxxxy
Kwani hapa tunamshauri huyo baharia au huyo dada jifunze kusoma kuelewa kabla haujajibuHyo baharia sijaona tatizo kwake kapewa nafasi na kaitumka inavyotakiwa angezembea na yeye angemuacha mke na watoto