Ungekuwa wewe ungemshauri nini huyu dada?

Ungekuwa wewe ungemshauri nini huyu dada?

Kosa kubwa alilofanya ni kulipa kisasi kwa kutembea na x wake na hayo ndio malipo yake.. kaachwa na mumewe, kumbe x nae ni mume wa mtu.. Akili za wanawake hizo.... Sina cha kumshauri.
 
Yaani analipa kisasi kwakunyanduliwa?? Hata kwangu angekula kadi nyekundu
 
Heheheeeee kwakweli mapenzi upofu, tunakuwaga maboya tukipenda jamani
 
Wanawake bhana Mungu awasaidie tu!
wengi wanaokimbia ndoa zao huishia kutendwa au huwa wanaishi maisha ya huzuni Sana huku wakijifariji ni super woman!
Sasa mtu kakimbia ndoa yake furaha aitoe wapi?
 
Habari Kaka, mimi ni Mama wa watoto wawili, nimeolewa ndoa yangu ina miaka 7 sasa, mwkaa jana nilikorofishana na mume wangu, nilimfumania na dada wa kazi. KutoKana na kunidhalilisha nilichukua jukumu la kuondoka ili kumuacha, lakini alikuja kuomba msamaha nikamsamehe, lakini nilishindwa kusahau, nikiwa katika upweke huo nilijikuta naanzisha mahusiano na X wangu.

Mahusiano yaliendelea mpaka mwaka huu mwanzoni, mume wangu aligundua, nikamuambia kuwa nimemua kulipa kisasi kwakua nayeye alichepuka.
Nakili siwezi kuomba ushauri kwenye swala dogo kama hili.
Mwambie nimesema aache upumbavu, eti hataki kumpoteza? Mbona alimpoteza mme wake?kweli wanawake wajinga dunia hawaishi.

Mwambie afungue secret account,kuanzia sasa pesa aweke kule, huyo mwanaume akimuuliza amwambie wewe na mke wako mnachukua pesa bila kurudisha mnategemea nini?

Mwisho wa mwisho duka liishe kimya kimya.

Ila ningekuwa mimi hivyo vitu ningeviuza mara moja hiyo pesa nikatunza kwa ajili ya kulea watoto. Nisingemwambia chochote huyo mwanaume akitaka aondoke.

Afu mwambie atoe upumbavu wa kushare biashara na mme wa mtu. Aache hiyo biashara haraka sana. Asirudie kukopea mshahara maana soon hata huyo mwanaume atamuacha.

Ila wanawake wanaendeshwa na ngono sana mbona huo upumbavu mm siwezi fanya? Jitu halimuhudumii linaleta kwake mbupu tu eti hataki kuliacha nfyuuuxxxxxxy
 
Dawa yake nawe iyo 10m fungua biashara nyingine bila kumuhusisha iyo mliyofungua naye ifirisi halafu mbaki mnapeana utamu usimshirikishe kwenye biashara yako Lea familia yako inaonekana anakutumia tu
 
"ukionja au kunywa sumu mwenyewe usitegemee afe mtu mwingine".
"Haraka haraka haina baraka"

Mwisho wa kunukuu...
Huyu alitaka kumkomoa jamaa bila kujua kuwa anajikomoa mwenyewe. Kila kitu kina faida na hasara. So, alipoamua kulipiza kisasi tena waziwazi alijua faida na hasara atakazozipata. So, Hana budi kuvumilia anayapitia hadi mwisho.

Mwisho: "Huwezi kupata jema kwa malipo ya kumfanyia mtu mwingine ubaya"...
Kuna watu mnajua kuchangia.

Mm nibaki kutazama tu hapa[emoji16]

Sent from my LM-V409N using JamiiForums mobile app
 
Sasa we dada yngu alikucheat na we unalipiza na kumwambia kabisa unalipiza kisasi, ivi hamkuelewa ule meimbo wa diamond na Shetta, yani nyie mawanawaze mnakuaga majinga sana, sasa baada ya kumkomesha umejikomesha, kwa taarifa yko ata mwanaume akupende vipi, akiona umecheat upendo wote unayeyuka kinachobaki ni chuki kwako
Sasa apo umelikoroga mwenyewe

Sina la kukushauri ila wa kumshauri ni hawa ambao wanasoma na bado hawajafanya kosa kama lako maana nyie ndo mnafaidika na ndoa, mwanaume akikuacha ata kesho atapata mwingine
 
Huyo amna cha kumshauri,kama alijishauri kumuacha Mme wake kisa alichepuka na kuamua kua mchepuko wa Mme wa mtu basi inatosha kusema amalizane na upumbafu wake.
 
Dawa yake nawe iyo 10m fungua biashara nyingine bila kumuhusisha iyo mliyofungua naye ifirisi halafu mbaki mnapeana utamu usimshirikishe kwenye biashara yako Lea familia yako inaonekana anakutumia tu
Hiyo baharia sijaona tatizo kwake kapewa nafasi na kaitumka inavyotakiwa angezembea na yeye angemuacha mke na watoto
 
Kama kukosea alishakosea. Ushauri wangu kwa huyo dada ako.
1. Aachane na huyo kunguni. Kama pesa aliyotoa jamaa amesharudisha.
Kama ndoa amevunja kinachomshinda ktk uhusiano nn? Mwambie kaachwa mara moja tu, kwa huyo x wake anaacha yeye.

2. Akubaliane na khali halisi. Maisha ya uhusiano yamemshinda. Wa kwake kamshindwa, na huyo wa mwenzie pia kamshindwa. Sitaki kujua kwann huyo X wake hakumuoa.

3. Atambue ana deni. Amekopa anadaiwa, pia watoto wanamdai malezi, elimu. Apige kazi aachane na mapenzi.
 
Nakili siwezi kuomba ushauri kwenye swala dogo kama hili.
Mwambie nimesema aache upumbavu, eti hataki kumpoteza? Mbona alimpoteza mme wake?kweli wanawake wajinga dunia hawaishi.

Mwambie afungue secret account,kuanzia sasa pesa aweke kule, huyo mwanaume akimuuliza amwambie wewe na mke wako mnachukua pesa bila kurudisha mnategemea nini?

Mwisho wa mwisho duka liishe kimya kimya.

Ila ningekuwa mimi hivyo vitu ningeviuza mara moja hiyo pesa nikatunza kwa ajili ya kulea watoto. Nisingemwambia chochote huyo mwanaume akitaka aondoke.

Afu mwambie atoe upumbavu wa kushare biashara na mme wa mtu. Aache hiyo biashara haraka sana. Asirudie kukopea mshahara maana soon hata huyo mwanaume atamuacha.

Ila wanawake wanaendeshwa na ngono sana mbona huo upumbavu mm siwezi fanya? Jitu halimuhudumii linaleta kwake mbupu tu eti hataki kuliacha nfyuuuxxxxxxy
Kapigwa dudu mpaka anajisahau kuwa huyo ni mme wa mtu lazima atarudi tu kwa mkewe
 
Hyo baharia sijaona tatizo kwake kapewa nafasi na kaitumka inavyotakiwa angezembea na yeye angemuacha mke na watoto
Kwani hapa tunamshauri huyo baharia au huyo dada jifunze kusoma kuelewa kabla haujajibu
 
Back
Top Bottom