Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kwanini?Katika sekta ya ulinzi na usalama
Mwalimu ningepata kishkwambiUngepata nafasi ya kufanya kazi Serikalini ,ungependa kufanya kitengo gani?
Na kwanini!
Majibu yako, yatazingatiwa
Hahaha..Waziri wa Fedha na Mipango. Kila mwaka naingiza zangu Yutong 60, ninakuwa na majumba yangu lukuki ya kifahari, magari ya kifahari, vituo vya mafuta, timu ya mpira wa miguu, vimada, na machawa wangu nchi nzima.
Hivi huyu wa sasa basi zake zinaitwaje?Hahaha..
Ungemuiga kabisa wa sasa!
Nimecheka mafundi hawatumii chaki ili uwauzie😀Ugavi .
Mambo ya manunuzi, unafanya deal na wazabuni. CAG akija anatoa tu report fedha imetumika au kuna deni na wanaodaiwa hawajulikani.
Sio ualimu hata chaki huwezi kuuza. Mafundi nguo wanatumia mkaa
ESTHER, lakini naskia tuHivi huyu wa sasa basi zake zinaitwaje?