Ungepata nafasi ya kufanya kazi Serikalini, ungependa kufanya kitengo gani? Na kwanini?

Ungepata nafasi ya kufanya kazi Serikalini, ungependa kufanya kitengo gani? Na kwanini?

Ungepata nafasi ya kufanya kazi Serikalini ,ungependa kufanya kitengo gani?

Na kwanini!

Majibu yako, yatazingatiwa
Mwalimu wa shule ya msingi.
NB:Haya maswali sampuli hii yafaa waulizwe watoto.What you wanna be when you grow up?Sasa,hawa vikongwe humu JF kuwauliza hivyo ni kuchokoza instincts zao bure.Unawakumbusha machungu tu.
 
Waziri wa Fedha na Mipango. 😇

Kila mwaka ningekuwa naingiza nchini Yutong zisizopungua 60, ninakuwa na majumba yangu lukuki ya kifahari, magari ya kifahari, vituo vya mafuta, timu ya mpira wa miguu, vimada, na machawa wangu nchi nzima.

Dah! Ngoja niwahi kulala ili kesho niwahi sokoni kuuza nyanya chungu zangu.
Naamini usingeacha kunipa ajira ya kuandikaandika na kuchora kwenye madaraja na mawe makubwa kukusifu nchi nzima.
 
Ungepata nafasi ya kufanya kazi Serikalini ,ungependa kufanya kitengo gani?

Na kwanini!

Majibu yako, yatazingatiwa
Duh ile ya miaka mitano na kustaafu kama ipo kwenye ajira ya serikali
 
Manunuzi,kitu cha million 100 ninaandika million 250 hahahhahh.Ndo wanavyofanya.Unafungwa baadae unatoka uanpewa adhabu ya kufagia sehemu za umma.Huku uliiba umewekeza mali za kula mpaka vitukuu wa vitukuu wako.Kama unabisha muulize Daniel Yonah.aliiba na sasa anaenjoy na vizazi.vyake vitaenjoy.
Kwa kweliii.
 
Back
Top Bottom