Ungepata nafasi ya kufanya kazi Serikalini, ungependa kufanya kitengo gani? Na kwanini?

Ungepata nafasi ya kufanya kazi Serikalini ,ungependa kufanya kitengo gani?

Na kwanini!

Majibu yako, yatazingatiwa
Mwalimu wa shule ya msingi.
NB:Haya maswali sampuli hii yafaa waulizwe watoto.What you wanna be when you grow up?Sasa,hawa vikongwe humu JF kuwauliza hivyo ni kuchokoza instincts zao bure.Unawakumbusha machungu tu.
 
Naamini usingeacha kunipa ajira ya kuandikaandika na kuchora kwenye madaraja na mawe makubwa kukusifu nchi nzima.
 
Ungepata nafasi ya kufanya kazi Serikalini ,ungependa kufanya kitengo gani?

Na kwanini!

Majibu yako, yatazingatiwa
Duh ile ya miaka mitano na kustaafu kama ipo kwenye ajira ya serikali
 
Kwa kweliii.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…