Waziri wa Fedha na Mipango. 😇
Kila mwaka ningekuwa naingiza nchini Yutong zisizopungua 60, ninakuwa na majumba yangu lukuki ya kifahari, magari ya kifahari, vituo vya mafuta, timu ya mpira wa miguu, vimada, na machawa wangu nchi nzima.
Dah! Ngoja niwahi kulala ili kesho niwahi sokoni kuuza nyanya chungu zangu.