Cute Wife
JF-Expert Member
- Nov 17, 2023
- 1,906
- 5,000
Wakuu,
Mwaka huu 2024 tutafanya uchaguzi wa serikali za mtaa na mwakani 2025 tutafanya uchaguzi Mkuu ambapo tutachagua Madiwani, Wabunge pamoja na Rais.
Kwa kuzingatia chaguzi za nyuma mpaka kufikia leo ungependa zoezi la uchaguzi lifanyikaje ili kuongeza uwajibikaji, utawala bora pamoja na demokrasia?
Wagombea waweje? Wawe na sifa gani? Kampeni zifanyikaje? Mchakato wa Kupiga Kura ufanyikaje? Usimamizi wa zoezi la upigaji kura ufanywe na nani? Ili viongozi tunaowapata wawe wawajibikaji na wenye kutanguliza mbele maslahi ya wananchi?
Mwaka huu 2024 tutafanya uchaguzi wa serikali za mtaa na mwakani 2025 tutafanya uchaguzi Mkuu ambapo tutachagua Madiwani, Wabunge pamoja na Rais.
Kwa kuzingatia chaguzi za nyuma mpaka kufikia leo ungependa zoezi la uchaguzi lifanyikaje ili kuongeza uwajibikaji, utawala bora pamoja na demokrasia?
Wagombea waweje? Wawe na sifa gani? Kampeni zifanyikaje? Mchakato wa Kupiga Kura ufanyikaje? Usimamizi wa zoezi la upigaji kura ufanywe na nani? Ili viongozi tunaowapata wawe wawajibikaji na wenye kutanguliza mbele maslahi ya wananchi?